Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,545
- 29,616
Inabidi umuulize my cupcake (nyani Ngabu) kama anafaidi au lah...na kuhusu picha kuweka jikoni ...oloo usiniletee balaa kwa Cupcake no way Jose!...
Yeha nimekuelewa kuhusu Issue ya Nyerere!...Life goes on.
..hivi isije ikawa NN anakuwa mkali sana hapa mpaka anafungiwa kwa sababu analinda mali zake and anahofia anaibiwa so anamuatack kila mtu.... inakuwaje hii??
ningekumiliki walah kila mtu mume angekuwa mbaya wangu tangia siku unasema yes.
Ulikumbuka kusema ahsante kwa mama? i mean kwa urembo aliokuzaa nao.
....Kunamwanamwali mmoja aliniambia kuwa most women wanashangazwa na jinsi tunavyopiga vikumbo kujongelea maeneo ya kina-mwali. I mean hamjui kama tunafaidigi au la....