Julius Kambarage Nyerere Biography

Binti Maringo

JF-Expert Member
Jul 4, 2007
2,804
88
This is very serious and its really not a joke pleaseeee! (highly important!!)

Kuna maprofesor kutoka University of Endiburgh nimekutana nao jana wanatafutaa Mtanzania anayeweza kuandika Bibliography ya Mwalimu Nyerere in 3yrs time, his leadership na legacy yake kwa ujumla. Kuna funding ya kussuport hiyo kitu na akipatikana mtu ata-register for PhD kwenye University ya Endiburgh. Kina chotakiwa aandike kind of an abstract kuonyesha gap kipi amabacho kuhusu Nyerere hakijulikani then watume atachanguliwa aliyeeandika vizuri aanze shule.

If you know you can do this please send me an email at auntykelly@hotmail.com... ili niweze kukupa more informations....kwa wale wanaoogopa sijui ID zao kua exposed shauri zao opportunity kama this comes once in a life time....

Only for serious people...


xoxo
Nnzafula aka Kelly01
 
This is very serious and its really not a joke pleaseeee! (highly important!!)

Kuna maprofesor kutoka University of Endiburgh nimekutana nao jana wanatafutaa Mtanzania anayeweza kuandika Bibliography ya Mwalimu Nyerere in 3yrs time, his leadership na legacy yake kwa ujumla. Kuna funding ya kussuport hiyo kitu na akipatikana mtu ata-register for PhD kwenye University ya Endiburgh. Kina chotakiwa aandike kind of an abstract kuonyesha gap kipi amabacho kuhusu Nyerere hakijulikani then watume atachanguliwa aliyeeandika vizuri aanze shule.

If you know you can do this please send me an email at auntykelly@hotmail.com... ili niweze kukupa more informations....kwa wale wanaoogopa sijui ID zao kua exposed shauri zao opportunity kama this comes once in a life time....

Only for serious people...



xoxo
Nnzafula aka Kelly01

...imeandikwa inawezekana .... anaweza akaja kama malaika wa nuru na watumishi wake wakaja kama watumishi wa haki.
kama ni issue siriaz, mwaga anuani hapa na complete info kisha acha wabongo wahangaike nayo kivyao. haya masuala ya kutafuniana mapaka chakula kinakuwa rojo ni ya kizamani.
nakupa hongera kwa kusaka opportunity ila nakushauri be open kuidistribute kwa wadau.
 
...imeandikwa inawezekana .... anaweza akaja kama malaika wa nuru na watumishi wake wakaja kama watumishi wa haki.
kama ni issue siriaz, mwaga anuani hapa na complete info kisha acha wabongo wahangaike nayo kivyao. haya masuala ya kutafuniana mapaka chakula kinakuwa rojo ni ya kizamani.
nakupa hongera kwa kusaka opportunity ila nakushauri be open kuidistribute kwa wadau.

sasa unataka niwe serious na kitu gani (u r trying to discourage other people kwa kusema hivyo) keep in mind nimeshatoa email yangu na jina langu kamili hapo chini that means i am very serious....wewe kama upo tayari tuma email then tuta discuss lakini kama haupo serious na kitu hutaki then let those who need this.....

(
 
sasa unataka niwe serious na kitu gani (u r trying to discourage other people kwa kusema hivyo) keep in mind nimeshatoa email yangu na jina langu kamili hapo chini that means i am very serious....wewe kama upo tayari tuma email then tuta discuss lakini kama haupo serious na kitu hutaki then let those who need this.....

(

still not open enough Kelly.
Unajua una ujasiri wa kujiexpose kwa kuwa unajua ufanyacho ila ninachosema mie ni kwamba ingawa nataka sana kujaribu ila sitaweza kutuma IDs zangu kwa strangers (my mother warned me). pili ni kwamba dunia imejaa mbinu chafu za kila aina and why should i believe kwamba amongst us hakuna hunters?
nawapa shime wanabodi kuchangamkia chance hii (msisahau kufuata masharti).
 
still not open enough Kelly.
Unajua una ujasiri wa kujiexpose kwa kuwa unajua ufanyacho ila ninachosema mie ni kwamba ingawa nataka sana kujaribu ila sitaweza kutuma IDs zangu kwa strangers (my mother warned me). pili ni kwamba dunia imejaa mbinu chafu za kila aina and why should i believe kwamba amongst us hakuna hunters?
nawapa shime wanabodi kuchangamkia chance hii (msisahau kufuata masharti).


Ok basi sijakulazimisha...

And for the record sifanyi hizo mbinu chafu i am clean aS mountain spring water...
 
This is very serious and its really not a joke pleaseeee! (highly important!!)

Kuna maprofesor kutoka University of Endiburgh nimekutana nao jana wanatafutaa Mtanzania anayeweza kuandika Bibliography ya Mwalimu Nyerere in 3yrs time, his leadership na legacy yake kwa ujumla. Kuna funding ya kussuport hiyo kitu na akipatikana mtu ata-register for PhD kwenye University ya Endiburgh. Kina chotakiwa aandike kind of an abstract kuonyesha gap kipi amabacho kuhusu Nyerere hakijulikani then watume atachanguliwa aliyeeandika vizuri aanze shule.

If you know you can do this please send me an email at auntykelly@hotmail.com... ili niweze kukupa more informations....kwa wale wanaoogopa sijui ID zao kua exposed shauri zao opportunity kama this comes once in a life time....

Only for serious people...


xoxo
Nnzafula aka Kelly01
haya umeshaifanya dili......wabongo bana....
 
Msanii unaharibu issue iko serious kama huwezi we achana na hii thread bana
hapana mkuu haiko siliasi kivile....kely01 keshafanya dili kama kitu serious basi aweke full details za hao wa Edinburgian mie na wewe kama tunaweza tumwage mavituuzi...sio eti nimtumie email kely01 then yeye anionganishie kwa hao...hee!
 
Kelly, how much does it cost to provide/unveil the details of those Profs who are in need of Mwl's bibliography?
 
Kelly, how much does it cost to provide/unveil the details of those Profs who are in need of Mwl's bibliography?

It doesnt cost anything...watasupport the whole study...actual siwezo disclose hiyo kitu hapa JF kama unaweza niandikie email then we cans tart fromt here......
.
 
hapana mkuu haiko siliasi kivile....kely01 keshafanya dili kama kitu serious basi aweke full details za hao wa Edinburgian mie na wewe kama tunaweza tumwage mavituuzi...sio eti nimtumie email kely01 then yeye anionganishie kwa hao...hee!

...kwa hiyo narudi naw.
kelly mwaga datas hapa tujichanganye
 
Kelly, nadhani itakuwa vizuri kuweka maelezo yote hapa ukumbini. Ili wanaotaka kujaribu wajue wataanzia wapi kuandika "PhD Proposal" zao, hiyo itasaidia sana.

AMA

Kama Kelly anataka mpaka muwasiliane naye kwa wanaotaka kujaribu, labda naye ni mtu muhimu katika hilo zoezi. Kama hutaki kujulikana na Kelly wasiliana naye kwa email binafsi aliyotoa kwa kutumia email yako binafsi pia (yahoo, hotmail nk). JF ina watu zaidi ya 8000. Kama nikimtumia kuwa nimesoma JF hii habari hawezi kujua mimi ni Mfumwa, Yo Yo ama Masanilo.
 
Kelly, nadhani itakuwa vizuri kuweka maelezo yote hapa ukumbini. Ili wanaotaka kujaribu wajue wataanzia wapi kuandika "PhD Proposal" zao, hiyo itasaidia sana.

AMA

Kama Kelly anataka mpaka muwasiliane naye kwa wanaotaka kujaribu, labda naye ni mtu muhimu katika hilo zoezi. Kama hutaki kujulikana na Kelly wasiliana naye kwa email binafsi aliyotoa kwa kutumia email yako binafsi pia (yahoo, hotmail nk). JF ina watu zaidi ya 8000. Kama nikimtumia kuwa nimesoma JF hii habari hawezi kujua mimi ni Mfumwa, Yo Yo ama Masanilo.

Yaani Mfumwa you totally nailed it....

Apparently it seems like kuna watu are having hard time to believe ok this is what i will do nimemwandikia issue nzima Invisible yeye ataweka habari kamili hapo.....then mwenye nia atajimwaga manyanga kumbuka lazima uwe na MA sociology ama Politiko studies kutoka kwenye reputable university....

haya umeshaifanya dili......wabongo bana....

yaani wewe bwana upo negative kila siku....unajua kuna wakati wa utani na kuna wakati wa kuwa serious and i am very serious in this matter (with ndita and my glasses on)
 
It doesnt cost anything...watasupport the whole study...actual siwezo disclose hiyo kitu hapa JF kama unaweza niandikie email then we cans tart fromt here......
.
kwanini umeileta Jf kama hutaki kuweka mambo sawa? si ungekaa nayo moyoni au ungewatumia nduguzo......JF we dare to talk openly hio usiifanye bonge la ishu saaana hata docs za usalama zinawekwa JF sembuse hio......acha bana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom