Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 88
This is very serious and its really not a joke pleaseeee! (highly important!!)
Kuna maprofesor kutoka University of Endiburgh nimekutana nao jana wanatafutaa Mtanzania anayeweza kuandika Bibliography ya Mwalimu Nyerere in 3yrs time, his leadership na legacy yake kwa ujumla. Kuna funding ya kussuport hiyo kitu na akipatikana mtu ata-register for PhD kwenye University ya Endiburgh. Kina chotakiwa aandike kind of an abstract kuonyesha gap kipi amabacho kuhusu Nyerere hakijulikani then watume atachanguliwa aliyeeandika vizuri aanze shule.
If you know you can do this please send me an email at auntykelly@hotmail.com... ili niweze kukupa more informations....kwa wale wanaoogopa sijui ID zao kua exposed shauri zao opportunity kama this comes once in a life time....
Only for serious people...
xoxo
Nnzafula aka Kelly01
Kuna maprofesor kutoka University of Endiburgh nimekutana nao jana wanatafutaa Mtanzania anayeweza kuandika Bibliography ya Mwalimu Nyerere in 3yrs time, his leadership na legacy yake kwa ujumla. Kuna funding ya kussuport hiyo kitu na akipatikana mtu ata-register for PhD kwenye University ya Endiburgh. Kina chotakiwa aandike kind of an abstract kuonyesha gap kipi amabacho kuhusu Nyerere hakijulikani then watume atachanguliwa aliyeeandika vizuri aanze shule.
If you know you can do this please send me an email at auntykelly@hotmail.com... ili niweze kukupa more informations....kwa wale wanaoogopa sijui ID zao kua exposed shauri zao opportunity kama this comes once in a life time....
Only for serious people...
xoxo
Nnzafula aka Kelly01