Na mimi nimeisikia leo ITV na imenikumbusha mbali na imenikumbusha mengi maana nilijikuta nikitokwa machozi nilipotafakali na kugundua kuwa sasa ikulu yetu imeshageuzwa ni Pango la wanyang'anyi.
Nyerere alikuwa ni nabii wa nyakati zetu!
Nyerere played a part in creating the current circumstances. Hivyo ilikuwa rahisi kwake kutabiri haya...
Hotuba ile kwa Waandishi ilikuwa ni miaka 10 baada ya kuwa ameondoka madarakani. Aliamini kabisa kuwa Rais ambaye angechaguliwa baada ya Mzee Ruksa angeziona zile nyufa. Akaja Mkapa. Haikuwa. Amekuja JK, mambo yanaelekea kumwelemea zaidi kwa kuwa alichokitaka yeye ni Urais.Nyerere played a part in creating the current circumstances. Hivyo ilikuwa rahisi kwake kutabiri haya...
There is some element of truth in this. Lakini naona kuwa kuna watu walikuwa wakiomba sana Nyerere afe, walikuwa wanamuona kikwazo cha wanayotaka kufanya.
Kunawengine walikuwa wezi hata wakati wa nyerere, lakini alikuwa anawakalia kimya tu. Si kama hakujua kama Kingunge ni mnafiki, na si kweli kama hakujua EL ni fisadi au huyu na yule ni watu ovyo. Hakuwa na uwezo kama malaika kudean na wote.
Hotuba ile kwa Waandishi ilikuwa ni miaka 10 baada ya kuwa ameondoka madarakani. Aliamini kabisa kuwa Rais ambaye angechaguliwa baada ya Mzee Ruksa angeziona zile nyufa. Akaja Mkapa. Haikuwa. Amekuja JK, mambo yanaelekea kumwelemea zaidi kwa kuwa alichokitaka yeye ni Urais.