HUNIJUI SIKUJUI
JF-Expert Member
- Apr 4, 2015
- 1,335
- 1,509
Ila warundi mungu anawaona....mnaongoza kwa utekaji na ujambazi kigoma na katavi..mna wa sponsor majangili silaha kuingia hifadhi za taifa wakifanya matukio wanakimbilia Burundi....vitoto vidogo vinajua milio ya silaha nyingi za kivita kuliko kusoma na kuandika, ikipigwa unaskia kanasema iyo ni Ak47, iyo ni smg iyo ni machine gun etc..