KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 864
Jukwaa la Wakrito linalojumuisha CCT,TEC na CPCT hawana imani na kauli ya Kikwete na Watawala wa CCM juu ya matamshi yao Kuhusu Mahakama ya Kadhi.
Mwaka juzi Kikwete alitoa tamko kama hilo lakini akaendelea na mchakato sasa leo wapo hapo wanamjadili Kikwete na CCM.
Mwaka juzi Kikwete alitoa tamko kama hilo lakini akaendelea na mchakato sasa leo wapo hapo wanamjadili Kikwete na CCM.