matongo manawa
JF-Expert Member
- Apr 6, 2011
- 336
- 79
Nazi wananchi tususie kununua magazeti yanayoandika mazuri ya polisi,hakuna kurudi nyuma.
Mkuu Ze Marcopolo, naomba unikumbushe lini na wapi niliwahi kusema "waandishi hawaandiki kitu mpaka wapewe "bahasha"?.
Mimi ni mtetezi wa bahasha halali za waandishi ambazo ni stahili zao!, nisome HAPA - nimeeleza kwa kila kitu!.
Mkuu Ze Marcopolo, nimeelezea mazingira ya uhalali wa bahasha, hakuna hata RPC mmoja anayetoa bahasha kwa waandishi ili waandikwe!. Bahasha halali ni "transport", "breakfast, lunch au dinner" kwa events za saa za chakula,Mkuu sana Pasco, hapo kwenye "uhalali" ndiko kunakosababisha waandishi waone kuwa wanaandika habari kwa ajili ya RPC, kwa sababu kibahasha kinawafanya waamini kuwa aliyewalipa ni mnufaika wa kwanza wa habari wanayoandika. Sasa huu mgomo lengo lake ni kutanua upana wa bahasha. By the way, link imekataa kufunguka mkuu.
polisi wasipo andikwa sindio wataua zaidi ??
Watu wanaongelea habari za msiba, wewe unaleta habari za dini fulani, hivi wewe kweli una akili??
Wahariri wa Daily News, Habari, Leo na Uhuru nao walikuwamo kwenye hicho kikao? Walikubaliana na maazimio?
Wenzenu Polisi ndio watafurahia ili watu wauawe na kupotezwa kimya kimya! Afadhali wangegomea habari za CCM.
kugomea habari za polisi haitoshi.....lazima waua wachukuliwe hatua....kuna haja ya kupeleka serikali mahakamani