Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 14,577
- 25,627
Wanazungumza kitu sahihi kama hakuna utu mtathamini madaraja na Reli mnayohenga ikiwa watu kuuawa mnataka iwe kawaida...Popote pale binadamu ndio anathaminiwa kuliko vitu maana vitu vipo na vinapatikana...