luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Wadau ni takribani miaka sita sikusikia hili jukwaa likitia neno u kujadili ISSUES ndani ya TZ, ila leo naona ITV wamewapa nafasi jukwaa hili katika kujadili bajeti ya Serikali ya Awamu ya 6.
Embu tupieni jicho muwaone akina Majura, Meena, n.k
Embu tupieni jicho muwaone akina Majura, Meena, n.k