Jukwaa la Mwananchi la vamiwa

DCONSCIOUS

JF-Expert Member
Oct 4, 2010
1,269
473
Kwa kile kinacho fahamika kama jitihada sa Nnape kuiokoa CCM dhidi ya watumia mtandao imelikumba jukwaa la maoni kny blog ya mwananchi.com kama sehemu ya majaribio ya kuwatumia vijana walio rubuniwa na chama hicho kutoa kashfa na matusi zidi ya CMD km hatua ya mwanzo ya kuzivamia blog zingine nchini. Il ikukiongezea nguvu chama hicho kwa watumia mtandao.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom