Jukwaa la mapenzi lavunja ndoa

Nyani Ngabu

Platinum Member
May 15, 2006
92,001
112,644
Taarifa zinazonifikia sasa hivi ni kuwa kuna dada mmoja rafiki wa rafiki yangu uhusiano wake wa kimapenzi umevunjika. Kisa na mkasa yeye na patna wake wamestukiana kuwa wako humu kwa kutumia multiple ids na wamekuwa wakidanganyana hadi kufikia hatua ya kutumiana pm ndipo walipogundua kuwa ndio hao hao
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom