Jukwaa la Katiba: Mchakato Katiba mpya uanze upya

Kitu Kizito

JF-Expert Member
Oct 21, 2012
245
223
Dar es Salaam. Jukwaa la Katiba (Jukata) limeitaka Serikali kutangaza kwenye gazeti la Serikali tarehe ya kuanza upya kwa mchakato wa Katiba mpya.
Mwenyekiti wa Bodi ya Jukata, Deus Kibamba amewaeleza waandishi wa habari leo kuwa Serikali pia inatakiwa ipeleke bungeni miswada miwili ili kuhuisha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2011 pamoja na Sheria ya Kura za Maoni 2013.

Jukata: Mchakato Katiba mpya uanze upya
 
Back
Top Bottom