Jamani da Dena we unadhani ni vikombe gani kama si vile kama cha babu loliondo?
Ndo nishaanza hivyoo si unaona sibanduki hapaSaidia hii campaign
MODS tunaomba muanzishe jukwaa la vikombe Tanzania.
Maana sasa hivi vikombe vinaibuka kila mkoa, wilaya , kata , mtaa na sasa vitakuwa nyumba kwa nyumba ,
So ikiwa kama issue endelevu inahitaji jukwaa