Ni kweli n jukumu la mzazi kuhakikisha Mtoto wake anapata elimu. Serikali inajukumu la kuhakikisha inatengeneza Sera, sheria na taratibu nzuri pamoja na vipaumbele vyake ili kuhakikisha kila mtoto anasoma mpaka kiwango atakachoweza/kidhi.
Kuhusu suala la ufadhili/mikopo; ni kweli twafahamu sio kila aombae ni lazima apewe vipo vigezo na sababu zinazoweza kufanya upate au ukose.
Ni vyema katika utoaji wa hiyo mikopo walau yale makundi maalumu yafikiwe ili kuepusha manung'uniko.
Kuhusiana na ufinyu wa bajeti, tujaribu kuangalia ni wapi panamwanya wa upotevu wa mapato ili kuweze kukuza pato la taifa. Na vyanzo vitakavyobuniwq viwe ni vya uhakika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.