MUGA MUGA
JF-Expert Member
- Jan 29, 2017
- 417
- 376
nashukuru kwa ushauri.Sawa, ila hili jina lako naomba usilifanyie kazi mbele ya watu.
Nitalibadilisha soon.
nashukuru kwa ushauri.Sawa, ila hili jina lako naomba usilifanyie kazi mbele ya watu.
Kwahiyo binti yako akikuomba umnunulie chupi hautamnunulia? Wa miaka mingapi? Binafsi binti yangu naanza kujitenga naye kuanzia miaka 10 kwasababu najua hapo anytime anavunja ungo.Mimi sijawahi kutawaza mtoto yeyote. Lakini hawa mabinti zangu huwaambii kitu kwa baba yao. Tunazungumzia mabinti wakubwa wako chuo....
Kwahiyo nazungumzia uzoefu hapa. Mabinti kwa baba zao hawapumui bila kujalisha umefanyaje. Waacheni wanawake wafamye kazi zao, watoto watakupenda na kukujali kama utatimiza majukumu yako ya ubaba.
Tusipopeana mipaka ya majukumu iko siku binti atakuomba umnunulie chupi....
Trust me
Bila kujalisha umri wake. Siwezi abadan kumnunulia chupi binti yangu kama mama yake yuko hai. SINUNUIKwahiyo binti yako akikuomba umnunulie chupi hautamnunulia? Wa miaka mingapi? Binafsi binti yangu naanza kujitenga naye kuanzia miaka 10 kwasababu najua hapo anytime anavunja ungo.
Chini ya 10 years hata chupi namnunulia akiomba,Ila kwasababu kwa miaka hiyo anatakiwa kujifunza kazi,siwezi kumfulia au kuigusa baada ya kuanza kuivaa. Watu MNA guilty mind kwasababu mioyo yenu imejaa uovu mnawaza hadi kwa watoro wenu. How can you?
Ukimaliza Hilo toa na Uzi wa kutoa 50/50 ya hela za matumizi ya mtoto.
Sent from my TECNO CE9 using JamiiForums mobile app
😂 😂 😂We msafishe mtoto, mi naenda kutafuta chakula chako na cha mtoto ili mtoto na wewe mpate kunya vizuri
Tangu Samia awe Rais naona wamama wamecharuka kwelikweli. Na Hapo bado Tulia hajawa Spika.
Wanawake wa kileo ni wajinga sana. Ulalamike mwanaume akuhudumie wewe na familia na maneno na ya kejeli juu "tafuta hela" alafu bado hata kumuogesha mtoto mwanaume ndio aje amuogeshe., aise the degree of stupidity in this post is as huge as mount Evarerest and beyond.Habar JF
Wote tunajua kuwa suala la kulea mtoto ni jukumu la wazazi wote baba na mama, hakuna kitu kinaboa na kuchosha kama kuhakikisha mtoto yupo msafi muda wote, wakina mama hubadilisha nepi hadi huchoka na kuamua kuacha tu na kuangalia unakuta dogo nguo yake imeloa mikojo na wengine hadi inaanzia kutoa harufu.
Zishukuriwe pampasi kwa sababu hiyo mtoto akipigwa kuja kumtoa sio leo.
Wababa wengi huwa hawapendi kabisa kuwasafisha watoto wao pale wanapokuwa wameharibu mambo iwe haja kubwa au ndogo ila hasa hasa haja kubwa hii ndogo anaweza akavumilia.
Unakuta baba kashika mtoto au anacheza na mwanaye yaan dogo akishajisaidia tu utamsikia we mama fulani mwanao amejinyea huku njoo umchukue.Baba yeye anapenda kucheza na mwanaye akiwa msafi tu akishaharibu mambo kosa hilo.
Kwani baba fulani ukimsafisha utapungukiwa na nini huwezi kumsafisha mtoto wako hadi umuite mama watoto??au kumsafisha mtoto hilo ni jukumu la mama peke yake baba halimuhusu??
View attachment 2076938
View attachment 2076939
View attachment 2076940
View attachment 2076942
View attachment 2076943
View attachment 2076944
View attachment 2076945