Juice na unga wa ngano kutoka viwanda vya Kenya vitaingia Tanzania bila vikwazo na sementi kutoka viwanda vya Tanzania vitaingia Kenya bila vikwazo

Tutakuja kujua baadae kuwa hatuna rais, ila wacha tupige miruzi na vigelegele kwa Sasa!

What's going to happen is an influx of Kenyan made goods in Tz, our export will be totally reduced hence decline of our currency due to higher importation of goods than exportation.

Rais huyu anajaribu kuivua chupi nchi ili kila taifa lijipigie litakavyo, soon ujanja ujanja wa Kenya dhidi ya Tz utarudi kwa Kasi.
What about influx of TZ goods in Kenya? Why sie tunajiwekaga kinyonge kinyonge tu? Sasa tunazungumzia soko la Africa. Unadhani tutaendelea kujifungia milele?
 
Makubaliano ni ngano ya Kenya kuuzwa Tanzania and not vice versa. Sisi tunaruhusiwa kuuza Kenya sementi na gesi tu, siyo ngano.
Hapa umechapia kabisa! Hakuna kitu kama hicho.

Vikwazo vimeondolewa potepote kama itifaki inavyotaka.

Kwa nini unapotosha? Yaekekea una ajenda yako.
 
Una endorse mkataba wa EPA na EU, sisi tunapeleka nini EU hadi uruhusu bidhaa zote za EU ziingie Tz duty free ? Huyu ndio Rais atakayeua kabisa manufacturing industry ambayo ndio kwanza ilikuwa jnaanza kukomaa baada ya kazi ya muda mrefu ya Mkapa, JK na JPM.
Viwanda vinatakiwa vishindane kwenye free market,ukiritimba wa soko umepitwa na wakati, ambaye hawezi akae pembeni huo ndio mwelekeo wa uchumi wa dunia(survival of the fittest) na hapo ndipo mraji atapata manufaa,,kwani wewe hutaki manufaa? Swala muhimu ni Kodi za serikali zilipwe kwa ukamilifu wake.
 
Umesemaje paragraph ya mwisho?
Kenya wanajitahidi kwenye quality aisee , lakini sisi bongo ndio huwa tunapenda ujanja ujanja kwenye quality za goods zetu kwa kupenda kumlazimisha mtu anunue local manufactured substandards goods(Kwa kutumia protectionism) ,na kwa bei ambazo hata hazina unafuu,as compared to imported quality products! Tujaribu kutengeneza products zenye quality, ili ziweze kushindana na kupata masoko mazuri nje. Ubabaishaji kwa uchumi wa dunia ya leo' ni vigumu kutoboa..... That's a bitter truth ......na kazi iendelee.
 
Konyagi inavuka sana tu kwenda kenya , utaratibu ni kuwa Quality iwe ya juu
Konyagi ina alcohol level ya 35%abv , kebs wakipima wakaikuta ina 34.4% imekula kwako inarudi hata kama ulishalipa entry na fees zote.
Vipi kwa wale wanaopitisha kwa njia za panya mkuu ?
 
Hapa umechapia kabisa! Hakuna kitu kama hicho.

Vikwazo vimeondolewa potepote kama itifaki inavyotaka.

Kwa nini unapotosha? Yaekekea una ajenda yako.
Soma hayo makubaliano niliyoya attach ya gazeti la Buissines Times yaliyoandikwa kwa lugha ya malikia. Natumaini lugha hiyo unaijua vizuri.
 
Kosa kubwa alilofanya Magufuli ni kujaribu kuwazibua masikio wajinga.

Magufuli alikuwa anaongoza taifa la watu wajinga na wapumbavu ambao kwao uccm na uchadema ni agenda yao kuu. Ndio maana kuna mataifa yakikuwa yanasema tupeni sisi huyo mtu atuongoze walau mwezi mmoja tu.

Kila mahali alipokuwa anapita alikuwa anawaambia watu fanyeni kazi, limeni mazao muwe na chakula cha kutosha kisha ziada uzeni nje mpate fedha,! Tena akawambia usipofanya kazi ikija njaa selikali haitakupa chakula itakuacha ufe, ile ilikuwa ni kuwa encourage watu wafanye kazi, ila wajinga wakasema ni mkatili.

Akasema inauma sana kuona unaenda dukani kununua bidhaa toka nje wakati material ya hiyo bidhaa unalala nayo kila siku. Na akijaribu kuwaambia watu wekezeni viwanda vyenu kila kona ya nchi ili muzalishe bidhaa kutokana na material za sehemu husika badala ya kuuza hizo materials kisha mnarudishiwa bidhaa kwa bei juu.

Suala la sukari kwa mfano, ingekuwa nchi yenye watu wenye afya ya akili muda huu tungekuwa tunaongela tuna viwanda hata 20 vya sukari maana alipozuia sukari toka nje wenye mitaji ilitakiwa kwenda kuwekeza kwenye mashamba ya miwa na kufungua maviwanda ili kuhakikisha sasa wanateka soko lote la ndani. Badala yake wakaishia kumtukana.

Magufuli alikuwa anataka kuona badala ya watu kuuza materials na yale materials kurudi kama bidhaa na kuuziwa kwa bei ya juu basi watz wenyewe wafanye yote hayo kisha wauze bidhaa badala ya materials.

Samia anaturudisha kule kule. Yani badala ya kuhamasisha watu wafungue viwanda tuuze na sisi bidhaa yeye anahimiza hivyo vibidhaa vije kwa wingu zaidi. Hatutafika popote.
Mkuu inauma sana aisee..vita vya uchumi sio lele mama aisee...ndio maana nasema washauri wa Raisi kwenye uchumi wawe wazawa wanao own viwanda ambavyo raw materials zao ni za wakulima na wafugaji sio wachumi waliopata PHD za kwenye kiyoyozi ambao hawajawahi hata kuuza bazoka...
 
Huyo huwa hana akili, kifupi huwa ni mduni wa hoja na kudharau akili za wengine kujifanya anajua sana.
Sidhani kama unachosema ni sahihi,pitia vizuri michango yake,yuko objective sana sijawahi kuona mchango wa kijinga kutoka kwake.
 
Viwanda vinatakiwa vishindane kwenye free market,ukiritimba wa soko umepitwa na wakati, ambaye hawezi akae pembeni huo ndio mwelekeo wa uchumi wa dunia(survival of the fittest) na hapo ndipo mraji atapata manufaa,,kwani wewe hutaki manufaa? Swala muhimu ni Kodi za serikali zilipwe kwa ukamilifu wake.
Itakuwaje feadher weight akashindanishwa na heavy weight kwenye mchezo wa boxing? Matokeo yake si ni kifo cha wazi?
 
Kenya wanajitahidi kwenye quality aisee , lakini sisi bongo ndio huwa tunapenda ujanja ujanja kwenye quality za goods zetu kwa kupenda kumlazimisha mtu anunue local manufactured substandards goods(Kwa kutumia protectionism) ,na kwa bei ambazo hata hazina unafuu,as compared to imported quality products! Tujaribu kutengeneza products zenye quality, ili ziweze kushindana na kupata masoko mazuri nje. Ubabaishaji kwa uchumi wa dunia ya leo' ni vigumu kutoboa..... That's a bitter truth ......na kazi iendelee.
Sijakuelewa ili viwanda vyetu visimame vinanzia Advanced teknoloji to local au Local to Advanced tecn?
Au visiwepo kabisa , au Waje wawekezaji na Advance tech? au vyote
 
Nafasi ya viwanda vyenu kuanzia huko chini imekuwepo kwa miaka karibu 60 sasa baada ya uhuru, lakini mie nafikiri imekuwa ni ubabaishaji mwingi tu, hivyo kwa uzoefu huu wa kushindwa kuibuka, mie naona mnahitaji 'kusaidiwa'!.... kazi iendelee.
Sijakuelewa ili viwanda vyetu visimame vinanzia Advanced teknoloji to local au Local to Advanced tecn?
Au visiwepo kabisa , au Waje wawekezaji na Advance tech? au vyote
 
Tatizo la umaskini wa maarifa, uelewa na negativity, ndiyo chanzo cha umaskini wa Watanzania wengi.

Kuifungua Tanzania na kuufanya uchumi wake uchangamane na Dunia, ndiyo njia sahihi ya kuleta kwa kasi maendeleo ya kiuchumi.

Rais Samia asimame kwenye mstari sahihi, wala asipoteze muda kusikiliza upuuzi wa wajinga wachache wasio na uelewa wowote kwenye masuala ya bishara, uwekezaji na uchumi.

Hongera sana Samia, upo kwenye njia sahihi. Tembelea nchi kama Dubai (UAE), ukapate uzoefu wao wa kina namna walivyoibadilisha nchi yao ndani ya miaka 15. Tembelea nchi kama Botswana, Singapore, Malaysia, Hong Kong upate uzoefu wao, namna biashara huru zilivyoyajenga mataifa yao. Usijifungie kama marehemu aliyekuwa akiua maendeleo ya uchumi, huku akiamini anajenga uchumi wetu kwa kasi.
Bams Uko sawa sawa hakuna watu majihil na wajinga kama Watanganyika yaani huyu mama anavowafanyia munaona sivyo mmezoea yule mm Raisi wa wanyonge akichanga shilingi mbili tatu kuwachangia ama kweli wajinga ndio waliwao .Mzoe Punda hapandi Farasi .Mama SSH nakupenda sana move on achana na wajinga anza kutoka ukaone mambo duniani mimi nitakupa vitu vitatu muhimu vya kuweza kuwa na maendeleo kwa haraka sana .UMEMEE (ENERGY) Bila ya kuwa na umeme wa uhakika huwezi kuwa na maendeleo tena uwe standard .
MAJI ya uhakika 24 hours yanatoka tena standard.Bara bara za uhakika tena ziwe standard . Health uwe na spitali za kisasa zinazo kidhi mahitaji ya wananchi wakati umefika kila wilaya kuwa spitali yake kubwa pamoja na clinic zake la mwisho na si la mwanzo Fungua nchi Kibiashara weka kodi za chini Dunia nzima itakuja Tanganyika kununua vitu wakiingia wageni kila kitu kinakwenda mbele kuanzia tax hoteli and restaurant.
 
Mkuu hakuna kitu expensive kama counterfeit au low quality products ,
Low quality tiles zitakufanya kila siku ukimbizane na mafundi ku replace hizo zilizopoteza ubora

Ni bora ununue ghali lakini mara moja kuliko kurudia rudia
Je watanzania wengi wana huo uwezo wa kununua izo ghali????


Usiangalie nafsi yako angalia tz nzima
 
Je watanzania wengi wana huo uwezo wa kununua izo ghali????


Usiangalie nafsi yako angalia tz nzima
Unaponunua kitu cha low quality , maana yake ni kuwa utatumia pesa nyingi kuliko yule aliyeamua kununua cha kitu bora kwa bei ghali
 
Mimi nilikuwapo, si kwamba nimeisoma wapi. Tulikuwa na sarafu moja ya EA. Senti moja na senti 5 zilikuwa na tobo katikati la kuzibeba kama mshikaki. Ndiyo mambo yalikuwa hivyo mtukuu wangu. Senti moja unanunua kilo ya nyama ya ng'ombe ya kwenye ubao! Tumetoka mbali mtukuu wangu. Shillingi 5 unapata dume la makisai.
Waeleze Vijana hao..

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Waeleze Vijana hao..
emoji16.png
emoji16.png
emoji16.png


Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app

Waeleze Vijana hao..

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app





1622714043811.png
 
Back
Top Bottom