Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
mkuu wa mkoa wa Dar bwana mecky sadick alijaribu kuvaaa viatu vilivyomshinda mizengo Pinda na kujaribu kujadiliana na madaktari na kada nyingine za afya hospitali ya manispaa Temeke kuhusu kusitisha mgomo.kikao kimeisha muda si mrefu na majibu ni yale yale....TOOLS DOWN.