Tofalizito
JF-Expert Member
- Mar 28, 2020
- 343
- 1,264
Kwanza niseme wazi nilipenda sana juhudi zake za kupambana na kuhamasisha watu kupambana na covid 19
Lakini naona amevunjwa moyo sasa simsikii tena ameamua kukaa kimyaa akisubiri liwalo na liwe
Usikate tamaa mheahimiwa rudi uwanjani upambane.
Lakini naona amevunjwa moyo sasa simsikii tena ameamua kukaa kimyaa akisubiri liwalo na liwe
Usikate tamaa mheahimiwa rudi uwanjani upambane.