Juhudi za Rais Samia kuwarejesha waliotenguliwa wa Hayati Magufuli tuzitafsiri vipi?

Mnajadili ujinga tu waache watu wafanye kazi.. Hata JPM Kuna watu aliwarudisha ambao wakati wa JK walipigwa Chini kila raisi Kuna watu anaona wanamfaa
 
Sifa ya hao marais waliomteua sio ubora wao bali ni nafasi zao. Ingekuwa amechaguliwa na watu wenye ubora hapo Ingekuwa sawa. Mimi sijawahi kutaka kuwa kiongozi, na hata kama ningekuwa nisingekuwa na kiburi cha madaraka cha aina yake.
Kiburi gani wakati mtu alikua mkali kwa fisadi na wazembe. Mtu mwenye kiburi anakua na huruma kwa watu wanyonge na maskini. Mkizoea kudhulumu wanyonge kupata utajiri ndio mnaona kiongozi anayewashikisha adabu kwa kusimamia haki eti ana kiburi
 
Rais aliyepo madarakani ana haki ya kupanga safu yake kwa kadiri anavyoona inafaa, Magufuli sio Mungu na wala sio mmiliki wa nchi hii hivyo mashabiki wa Magufuli wasimlazimishe Rais Samia afanye kama alivyofanya Magufuli.
 
Rais aliyepo madarakani ana haki ya kupanga safu yake kwa kadiri anavyoona inafaa, Magufuli sio Mungu na wala sio mmiliki wa nchi hii hivyo mashabiki wa Magufuli wasimlazimishe Rais Samia afanye kama alivyofanya Magufuli.
Mwanakwenda alikuwa ni mtu wa hovyo na Tanzania haikuwahi kupata kiongozi wa hovyo kama mwanakwenda....sifa za mwanakwenda ambazo watu wengi hawapendi zisemwe japo ukweli unabaki pale pale kuwa mwanakwenda alikuwa hivyo......(1) MKABILA...kwenye utawala wake wasukuma wengi walipata ajira kwa kigezo cha ukabila mfano harmashauri ya wilaya ya same kuanzia mkurugenzi wa wilaya mpaka katibu tawala walikuwa ni wasukuma.... ..(2) CHUKI,KINYONGO,HIKDI NA WIVU hasa kwa matajiri na watu wenye neema zao mwanakwenda alitamani matajiri wote wawe chini yake kifedha na ndio maana hakuona aibu kumpora mtu pesa zake benki au kumpa kesi ya uhujumu uchumi ili mtu afirisike au apotee kabisa kwenye ramani...
 
Kiburi gani wakati mtu alikua mkali kwa fisadi na wazembe. Mtu mwenye kiburi anakua na huruma kwa watu wanyonge na maskini. Mkizoea kudhulumu wanyonge kupata utajiri ndio mnaona kiongozi anayewashikisha adabu kwa kusimamia haki eti ana kiburi

Hajawahi kupambana na mafisadi labda alipambana na matumizi ya neno fisadi. Hilo neno kutetea wanyonge alikuwa anatumia kama kichaka cha kuficha udhalimu wake, hakuna mnyonge yoyote alimsaidia zaidi ya kuruhusu biashara holela. Unadhani hatujui tofauti ya ukali kwa wazembe na jazba? Hakuna mtetezi wa wanyonge anayenajisi uchaguzi ili akae madarakani kwa shuruti.
 
Huyo mafuru ni mfano mwingine mama kuwarejesha waliyotumbuliwa na jpm. Hata kama alisusa na nadhani ni mtu anapelekeshwa na akili ya mtu au watu. Tutashuhudia regression ya mafanikio ya magufuli hasa nchi kujiamini na kufanya juhudi za kujitegemea.

The key word hapo ni "ANAPELEKESHWA"!
 
Ukiangalia kwenye wizara ya nishati kampa januari aliyekua anamsengenya na kumwita jpm mshamba. Katibu wake mkuu ni mramba aliyetumbuliwa tanesco kwa kutaka kupandisha bei ya umeme wakati lengo la jpm ni kushusha bei ya umeme.

Huku kwenye habari kamrudisha nappe. Huyu alitumbuliwa na jpm kwa kutowajibika vizuri na kukosa weledi. Wenye kujua ndio tulielewa.

Waziri anawezaje kwa uamuzi wake binafsi kuunda tume eti kumchunguza mkuu wa mkoa. Alivyo kilaza akadai hawezi acha kumtetea wema sepeku eti baba zao walikua marafiki na mama zao wote wanatoka singida. Ndio watu mama analeta kwenye baraza la mawaziri na kumtosa mtu kama mwanasheria nguli kabudi.

Ok nisiwe unfair sana kwa mama kuna vichwa vingi kaviretain ila asije kuleta pwanigang. Mimi naamini sukumagang was just a coined term kufanya uchochezi kumpinga magufuli.

Kuna mawaziri watano toka mikoa ya pwani. Competance yao wala sio shindani. Ni kundi la wale polepole alisema kwenye shule yake iliyofungwa.
Mi nadhani bora chuma kirudi au nasema uongo ndugu yang

Screenshot_20211029-110122.png
 
Samia alisema kuwa atawatoa kwenye Cabinet wale ambao wanaonesha uchu wa kutaka kugombea urais 2025 ili wapate nafasi ya kujipanga vizuri!! Sasa katika wale aliowatema kutoka kwenye Cabinet wamebakia nje baada ya kuwapa kazi Lukuvi na Kabudi ni Kitila Mkumbo na Mwambe; je hawa Kweli Ndio waliokuwa na uchu wa kugombea huo urais ? Samia anaonesha udhaifu wa kutojiamini na ndio maana anakula matapishi yake, namna hiyo hakuna atakayeamini kauli zake.
Inaelekea ameaminishwa na akakubali kuwa 'Kelele za chura hazimyimi usingizi mwenye nyumba" but time will tell if that is true!!
 
Ukiangalia kwenye wizara ya nishati kampa januari aliyekua anamsengenya na kumwita jpm mshamba. Katibu wake mkuu ni mramba aliyetumbuliwa tanesco kwa kutaka kupandisha bei ya umeme wakati lengo la jpm ni kushusha bei ya umeme.

Huku kwenye habari kamrudisha nappe. Huyu alitumbuliwa na jpm kwa kutowajibika vizuri na kukosa weledi. Wenye kujua ndio tulielewa.

Waziri anawezaje kwa uamuzi wake binafsi kuunda tume eti kumchunguza mkuu wa mkoa. Alivyo kilaza akadai hawezi acha kumtetea wema sepeku eti baba zao walikua marafiki na mama zao wote wanatoka singida. Ndio watu mama analeta kwenye baraza la mawaziri na kumtosa mtu kama mwanasheria nguli kabudi.

Ok nisiwe unfair sana kwa mama kuna vichwa vingi kaviretain ila asije kuleta pwanigang. Mimi naamini sukumagang was just a coined term kufanya uchochezi kumpinga magufuli.

Kuna mawaziri watano toka mikoa ya pwani. Competance yao wala sio shindani. Ni kundi la wale polepole alisema kwenye shule yake iliyofungwa.
Tafsiri yake wamejirekebisha. Kwani si alianza Magufuli kuwasamehe!!
 
Mwanakwenda alikuwa ni mtu wa hovyo na Tanzania haikuwahi kupata kiongozi wa hovyo kama mwanakwenda....sifa za mwanakwenda ambazo watu wengi hawapendi zisemwe japo ukweli unabaki pale pale kuwa mwanakwenda alikuwa hivyo......(1) MKABILA...kwenye utawala wake wasukuma wengi walipata ajira kwa kigezo cha ukabila mfano harmashauri ya wilaya ya same kuanzia mkurugenzi wa wilaya mpaka katibu tawala walikuwa ni wasukuma.... ..(2) CHUKI,KINYONGO,HIKDI NA WIVU hasa kwa matajiri na watu wenye neema zao mwanakwenda alitamani matajiri wote wawe chini yake kifedha na ndio maana hakuona aibu kumpora mtu pesa zake benki au kumpa kesi ya uhujumu uchumi ili mtu afirisike au apotee kabisa kwenye ramani...
Muongo na mjinga tu. Mwenyewe alikua anatamani wawepo matajiri. Unakumbuka yule mmasai wa tanzanite alivyotiwa moyo. Wewe bila shaka ni wale wapigaji wa hela ya umma na watumishi wazembe na wakwepa kodi. Hao ndio hakuwataka hata kidogo.
 
Muongo na mjinga tu. Mwenyewe alikua anatamani wawepo matajiri. Unakumbuka yule mmasai wa tanzanite alivyotiwa moyo. Wewe bila shaka ni wale wapigaji wa hela ya umma na watumishi wazembe na wakwepa kodi. Hao ndio hakuwataka hata kidogo.
Tengua hoja zangu hapo juu kwa mifano hai...
 
Wote hao walionewa na mwanakwenda...mwanakwenda alikuwa mdhurumati na muonevu kwa hiyo mama anatibu vidonda vya wale wote walioonewa na mwanakwenda.....

Chadema mnatumia nguvu kuongea ujinga wenu dhidi ya Magu,ila mnasahau mwenzetu Mbowe anakaribia kunyolewa upara gereza la ukonga.
 
Magufuli sio kipimo cha utawala bora hapa nchini, na ni kiongozi mjinga tu anaweza kufanya maamuzi yake ya kufuata alichokuwa anaamini Magufuli. Magufuli sifa yake kubwa alikuwa ni mchapakazi kazi asiyetumia akili, na aliendeshwa na roho la uharibifu, chuki na visasi. Bora waingie hawa wezi wanaoiba wakitabasamu, kuliko wezi wa enzi ya Magufuli waliokuwa wamejazwa viburi vya madaraka na uuaji. Kwetu ni bora hili zimwi la Msoga line, kuliko hao sukuma gang chini ya yule muovu aliye motoni.
Umandika uharo
 
Back
Top Bottom