Juhudi za kuwatetea Ngeleja na Malima KUHUSU UADILIFU WAO

Ndinani

JF-Expert Member
Aug 29, 2010
6,938
3,825
Toka ripoti ya Jairo ijadiliwe bungeni na mapendekezo yake kuwekwa bayana ,kumekuwepo na juhudi za makusudi za hawa wabunge wawili wakiwatunia waandishi wa habari mamluki kutaka kuwasafisha kuwa zile milioni nne nne walizokomba kama entertainment allowance ilikuwa halali yao.
Juhudi hizo zinajionesha waziwazi kwenye gazeti la mwananchi la tarehe 28/11 ambapo mwandishi anadiliki kusema kanuni na taratibu zinaruhusu hawa watu wapewe hiyo posho bila kiwango!!

Tatizo la hawa jamaa sio kana kwamba they were not entitled to entertainment allowance la hasha; hizo fedha zingekuwa ni entertainment allowance ya halali zingekuwa properly budgeted for, hivyo zingekuwa na baraka ya hazina kitu ambacho hizo za Jairo hazikukidhi masharti hayo. Hawa kama viongozi wa wizara walitakiwa kulijua hilo na kama hawakulijua basi hawafai kuwa mawaziri!

Huyu Malima nadhani tabia ya kutokuwa muadilifu ni hereditary; baba yake pia alituibia sana alipokuwa waziri wa fedha enzi ya Mwinyi kabla ya kwenda kuunda chama cha NRA ambako ndiko mwanae alikotokea kabla ya kujiunga na CCM!!
 
Duh!
Nakubaliana na wewe lakini hapo pa kurithi ufisadi toka kwa baba yake nadhani umekwenda too far!
 
Kama ni kinyume na sheria, washtakiwe mahakamani. Kama ni vinginevyo mjadala uishe..

Watu wamesign na kubariki mikataba feki and they got away with it, na sasa wanajisafishia njia ya kwenda Ikulu. Itakua hizo paDM zinazotambulika kihalali? Si kuwa nasupport lakini ni vigumu kumng'oa mtu kwa kigezo hicho, lets just face the reality!
 
Duh!
Nakubaliana na wewe lakini hapo pa kurithi ufisadi toka kwa baba yake nadhani umekwenda too far!

Mtoto wa nyoka ni nyoka tu, hivi mlitegemea nini hapo kwa huyo kilaza malima zaidi ya ufisadi kama wa baba yake.shame on him:juggle::juggle::juggle::juggle:
 
ukweli lazima usemwe hadharani tena kwa sauti kuu. Wengi wanajua kuwa Kighoma Malima alikufa kwa shinikizo la damu, baada ya akaunti zake za benki za nje ya nchi kufungwa tena na kiongozi wa Tz ya leo. Na huo uwaziri ni kama fADHILA TU KUPOOZA MACHUNGU YA KUULIWA BABAKE!
 
Ndiyo maana watu hawana na imani na tume tunazoziunda, yaani kila kitu kipo wazi lakini wahusika hawachukuliwi hatua labda tunasubiri malaika Gabriel au Jibrili kwa Kiislamu aje amuwajibishe Ngeleja na Malima.
 
Yaani mpaka sasa Jairo na Ngereja hawaja achia ngazii!!!!!!!!!!!!!!!
 
Toka ripoti ya Jairo ijadiliwe bungeni na mapendekezo yake kuwekwa bayana ,kumekuwepo na juhudi za makusudi za hawa wabunge wawili wakiwatunia waandishi wa habari mamluki kutaka kuwasafisha kuwa zile milioni nne nne walizokomba kama entertainment allowance ilikuwa halali yao.

Juhudi hizo zinajionesha waziwazi kwenye gazeti la mwananchi la tarehe 28/11 ambapo mwandishi anadiliki kusema kanuni na taratibu zinaruhusu hawa watu wapewe hiyo posho bila kiwango!!

Tatizo la hawa jamaa sio kana kwamba they were not entitled to entertainment allowance la hasha; hizo fedha zingekuwa ni entertainment allowance ya halali zingekuwa properly budgeted for, hivyo zingekuwa na baraka ya hazina kitu ambacho hizo za Jairo hazikukidhi masharti hayo. Hawa kama viongozi wa wizara walitakiwa kulijua hilo na kama hawakulijua basi hawafai kuwa mawaziri!

Huyu Malima nadhani tabia ya kutokuwa muadilifu ni hereditary; baba yake pia alituibia sana alipokuwa waziri wa fedha enzi ya Mwinyi kabla ya kwenda kuunda chama cha NRA ambako ndiko mwanae alikotokea kabla ya kujiunga na CCM!!
Umeanza vizuri arguments zako na pengine kuna ukweli ndani yake. Lkn hapo kwenye red ndipo ulipoharibu. Nayakini tukikupa kazi ya kuthibitisha wizi wa baba yake (Marehemu Prof. Kighoma Ali Malima) huna chembe ya ushahidi hata mmoja zaidi ya dhana tu.

Kama una concrete and solid evidence za wizi of the late Prof. zimwage hapa jamvini. Tafadhali mwache yule Mzee apumzike kwa amani.
 
Ooooh wadau wangu Ngeleja na Malima ni kweli hawana hatia, yenye hatia ni KATIBA tuliyo nayo, hebu ktk katiba mpya ijayo wayazingatie hayo, WAZIRI hana power kwa mfumo wetu uliopo.kuhusu posho mbona hata Rais wa serikali ya wanafunzi wa chuo kikuuMzumbe hakiingia kwenye kikao cha senate hulipwa 850000 sembuse kwa mawaziri jamani? mlitaka waziri akawalaze wageni wake kwenye HOSTEL za UDOM.Poa bwana naomba kuwasilisha.
 
Toka ripoti ya Jairo ijadiliwe bungeni na mapendekezo yake kuwekwa bayana ,kumekuwepo na juhudi za makusudi za hawa wabunge wawili wakiwatunia waandishi wa habari mamluki kutaka kuwasafisha kuwa zile milioni nne nne walizokomba kama entertainment allowance ilikuwa halali yao.

Juhudi hizo zinajionesha waziwazi kwenye gazeti la mwananchi la tarehe 28/11 ambapo mwandishi anadiliki kusema kanuni na taratibu zinaruhusu hawa watu wapewe hiyo posho bila kiwango!! Tatizo la hawa jamaa sio kana kwamba they were not entitled to entertainment allowance la hasha; hizo fedha zingekuwa ni entertainment allowance ya halali zingekuwa properly budgeted for, hivyo zingekuwa na baraka ya hazina kitu ambacho hizo za Jairo hazikukidhi masharti hayo.

Hawa kama viongozi wa wizara walitakiwa kulijua hilo na kama hawakulijua basi hawafai kuwa mawaziri!! Huyu Malima nadhani tabia ya kutokuwa muadilifu ni hereditary; baba yake pia alituibia sana alipokuwa waziri wa fedha enzi ya Mwinyi kabla ya kwenda kuunda chama cha NRA ambako ndiko mwanae alikotokea kabla ya kujiunga na CCM!![/QUOTE]

Umeanza vizuri arguments zako na pengine kuna ukweli ndani yake. Lkn hapo kwenye red ndipo ulipoharibu. Nayakini tukikupa kazi ya kuthibitisha wizi wa baba yake (Marehemu Prof. Kighoma Ali Malima) huna chembe ya ushahidi hata mmoja zaidi ya dhana tu. Kama una concrete and solid evidence za wizi of the late Prof. zimwage hapa jamvini. Tafadhali mwache yule Mzee apumzike kwa amani.

Nadhani ukitaka uthibitisho wa madudu ya Tax exemptions alizokuwa anatoa Kighoma Malima kwa wahindi [ mpaka akahakikisha yule mhindi rafiki yake akateuliwa kuwa mwenyekiti wa bodi ya NIC] serkali ya wakati huo lazima ina ushahidi ama sivyo wasingefanya hayo waliyomfanyia kuhusu akaunti zake!! Wahindi walikomba hela zake alizofikiri anazo huko ughaibuni mwishowe akapata mshituko wa moyo na ndio ikawa basi tena!!
 
Toka ripoti ya Jairo ijadiliwe bungeni na mapendekezo yake kuwekwa bayana ,kumekuwepo na juhudi za makusudi za hawa wabunge wawili wakiwatunia waandishi wa habari mamluki kutaka kuwasafisha kuwa zile milioni nne nne walizokomba kama entertainment allowance ilikuwa halali yao.

Juhudi hizo zinajionesha waziwazi kwenye gazeti la mwananchi la tarehe 28/11 ambapo mwandishi anadiliki kusema kanuni na taratibu zinaruhusu hawa watu wapewe hiyo posho bila kiwango!! Tatizo la hawa jamaa sio kana kwamba they were not entitled to entertainment allowance la hasha; hizo fedha zingekuwa ni entertainment allowance ya halali zingekuwa properly budgeted for, hivyo zingekuwa na baraka ya hazina kitu ambacho hizo za Jairo hazikukidhi masharti hayo.

Hawa kama viongozi wa wizara walitakiwa kulijua hilo na kama hawakulijua basi hawafai kuwa mawaziri!! Huyu Malima nadhani tabia ya kutokuwa muadilifu ni hereditary; baba yake pia alituibia sana alipokuwa waziri wa fedha enzi ya Mwinyi kabla ya kwenda kuunda chama cha NRA ambako ndiko mwanae alikotokea kabla ya kujiunga na CCM!![/QUOTE]Umeanza vizuri arguments zako na pengine kuna ukweli ndani yake. Lkn hapo kwenye red ndipo ulipoharibu. Nayakini tukikupa kazi ya kuthibitisha wizi wa baba yake (Marehemu Prof. Kighoma Ali Malima) huna chembe ya ushahidi hata mmoja zaidi ya dhana tu. Kama una concrete and solid evidence za wizi of the late Prof. zimwage hapa jamvini. Tafadhali mwache yule Mzee apumzike kwa amani.

...hayo maneno yenu ya "mwaache mzee apumzike" ndo yameifikisha nchi hapa ilipo.Sijui unataka ushaidi wa aina-gani?,hivi kweli hii hali mbaya ya maisha tuliyonayo wantanzania haiwezi kuwa ushahidi wa ufisadi uliofanywa na hao waliotangulia mbele ya haki?...
 
Toka ripoti ya Jairo ijadiliwe bungeni na mapendekezo yake kuwekwa bayana ,kumekuwepo na juhudi za makusudi za hawa wabunge wawili wakiwatunia waandishi wa habari mamluki kutaka kuwasafisha kuwa zile milioni nne nne walizokomba kama entertainment allowance ilikuwa halali yao.
Juhudi hizo zinajionesha waziwazi kwenye gazeti la mwananchi la tarehe 28/11 ambapo mwandishi anadiliki kusema kanuni na taratibu zinaruhusu hawa watu wapewe hiyo posho bila kiwango!!

Tatizo la hawa jamaa sio kana kwamba they were not entitled to entertainment allowance la hasha; hizo fedha zingekuwa ni entertainment allowance ya halali zingekuwa properly budgeted for, hivyo zingekuwa na baraka ya hazina kitu ambacho hizo za Jairo hazikukidhi masharti hayo. Hawa kama viongozi wa wizara walitakiwa kulijua hilo na kama hawakulijua basi hawafai kuwa mawaziri!

Huyu Malima nadhani tabia ya kutokuwa muadilifu ni hereditary; baba yake pia alituibia sana alipokuwa waziri wa fedha enzi ya Mwinyi kabla ya kwenda kuunda chama cha NRA ambako ndiko mwanae alikotokea kabla ya kujiunga na CCM!!
Pumba kwenye red highlight.
 
Mtoto wa nyoka ni nyoka tu, hivi mlitegemea nini hapo kwa huyo kilaza malima zaidi ya ufisadi kama wa baba yake.shame on him:juggle::juggle::juggle::juggle:
Hadithi za abunuas hazitatusaidia. Tuongee na kuandika fact daima hatutapotea.
 
Mwananchi limeanza kupoteza heshima kwa kasi ya ajabu.

Don't worry about gazeti. Likiendelea kubowa watu wataacha kununua including wewe mwenye gazeti atatafakari na mwishowe atagundua dhambi yake
 
Hadithi za abunuas hazitatusaidia. Tuongee na kuandika fact daima hatutapotea.
Kwani Malima na Ngeleja si mafisadi? Baba yake Malima hakuwa fisadi? Hakupata mshtuko wa moyo alipokuta akaunti yake ikiwa tupu London? Tupe facts basi.
 
Back
Top Bottom