Toka ripoti ya Jairo ijadiliwe bungeni na mapendekezo yake kuwekwa bayana ,kumekuwepo na juhudi za makusudi za hawa wabunge wawili wakiwatunia waandishi wa habari mamluki kutaka kuwasafisha kuwa zile milioni nne nne walizokomba kama entertainment allowance ilikuwa halali yao.
Juhudi hizo zinajionesha waziwazi kwenye gazeti la mwananchi la tarehe 28/11 ambapo mwandishi anadiliki kusema kanuni na taratibu zinaruhusu hawa watu wapewe hiyo posho bila kiwango!!
Tatizo la hawa jamaa sio kana kwamba they were not entitled to entertainment allowance la hasha; hizo fedha zingekuwa ni entertainment allowance ya halali zingekuwa properly budgeted for, hivyo zingekuwa na baraka ya hazina kitu ambacho hizo za Jairo hazikukidhi masharti hayo. Hawa kama viongozi wa wizara walitakiwa kulijua hilo na kama hawakulijua basi hawafai kuwa mawaziri!
Huyu Malima nadhani tabia ya kutokuwa muadilifu ni hereditary; baba yake pia alituibia sana alipokuwa waziri wa fedha enzi ya Mwinyi kabla ya kwenda kuunda chama cha NRA ambako ndiko mwanae alikotokea kabla ya kujiunga na CCM!!
Juhudi hizo zinajionesha waziwazi kwenye gazeti la mwananchi la tarehe 28/11 ambapo mwandishi anadiliki kusema kanuni na taratibu zinaruhusu hawa watu wapewe hiyo posho bila kiwango!!
Tatizo la hawa jamaa sio kana kwamba they were not entitled to entertainment allowance la hasha; hizo fedha zingekuwa ni entertainment allowance ya halali zingekuwa properly budgeted for, hivyo zingekuwa na baraka ya hazina kitu ambacho hizo za Jairo hazikukidhi masharti hayo. Hawa kama viongozi wa wizara walitakiwa kulijua hilo na kama hawakulijua basi hawafai kuwa mawaziri!
Huyu Malima nadhani tabia ya kutokuwa muadilifu ni hereditary; baba yake pia alituibia sana alipokuwa waziri wa fedha enzi ya Mwinyi kabla ya kwenda kuunda chama cha NRA ambako ndiko mwanae alikotokea kabla ya kujiunga na CCM!!