Juhudi za CCM za kumpachika RAIS wa TAHLISO zatokota

Pasco_jr_ngumi

JF-Expert Member
Nov 20, 2010
1,802
282
Dodoma.
Mkutano wa kuchagua viongoz wapya wa umoja wa vyuo vikuu Tanzania umefanyika na hatimae Rais na Katibu wamepatikana.

DHANA na mbinu chafu za CCM zikiongozwa na mtoto wa rais wa tanzania zilitawala kutaka kumuweka mfuasi wa CCM kutoka chuo cha Mzumbe awe Rais.Bwana mdogo Ridhiwan Kikwete alikuwa akigawa rushwa kwa wajumbe na hatimae alifukuzwa akisaidiwa na bwana Noel Katongo mwenyekiti mbumbumbu mwiz wa pesa wa chuo cha ushirika Moshi.

Walipoona hawawez kuwanunva wasomi wapga kura kwa ufisad... Walitaka kupangua muda wa kupga kura wakaandae mbinu nyingine ya kumpachka Rais fake wa CCM.

Kwa hasra wajumbe wakajpanga na kuwateua viongoz wa nuda wa kusmamia uchaguz na viongoz wapya wakapatkana bila wao kuwepo.
 
Mbona vyuoni kunaeleweka kua ukileta wenge lako na njaa zisizo na maana utapoteza kiti chako baada ya muda mfupi na ndiyo maana wamefanya maamuzi ya busara ili kuhakikisha kuwa demokrasia haitiwi maji.
 
Dodoma.
Mkutano wa kuchagua viongoz wapya wa umoja wa vyuo vikuu Tanzania umefanyika na hatimae Rais na Katibu wamepatikana.

DHANA na0mbinu chafu za CCM zikiongozwa na mtoto wa rais wa tanzania zilitawala kutaka kumuweka mfuasi wa CCM kutoka chuo cha Mzumbe awe Rais.Bwana mdogo Ridhiwan Kikwete alikuwa akigawa rushwa kwa wajumbe na hatimae alifukuzwa akisaidiwa na bwana Noel Katongo mwenyekiti mbumbumbu mwiz wa pesa wa chuo cha ushirika Moshi.

Walipoona hawawez kuwanunva wasomi wapga kura kwa ufisad... Walitaka kupangua muda wa kupga kura wakaandae mbinu nyingine ya kumpachka Rais fake wa CCM.

Kwa hasra wajumbe wakajpanga na kuwateua viongoz wa nuda wa kusmamia uchaguz na viongoz wapya wakapatkana bila wao kuwepo.

mbona toka zamani TAHILISO walishachakachuliwa sa ccm hicho ndiyo chanzo cha kuvunjika mwaka 2008 na baadhi ya vyuo vilivyojitoa ikiwemo UDSM kuunda umoja wao mwingine ambao ulikuwa chini ya hati ya makubaliano (memorrundum of understanding)
 
Safi saana ni kazi ya kudumu ya ridhiwan kuchafua umma kwa kodi za watanzania, sasa hivi anahaha kumusafisha asifiwe na wanavyou ili aonekane hakuchakachua kura, safi tahiliso kumtolea uvivu,
 
ni aibu vyuo vikuu ni taswira ya taifa kama nyie mtanunulika wale walioishia sekondari za kata itakuwaje? Shame on u all
 
Dodoma.
Mkutano wa kuchagua viongoz wapya wa umoja wa vyuo vikuu Tanzania umefanyika na hatimae Rais na Katibu wamepatikana.

DHANA na mbinu chafu za CCM zikiongozwa na mtoto wa rais wa tanzania zilitawala kutaka kumuweka mfuasi wa CCM kutoka chuo cha Mzumbe awe Rais.Bwana mdogo Ridhiwan Kikwete alikuwa akigawa rushwa kwa wajumbe na hatimae alifukuzwa akisaidiwa na bwana Noel Katongo mwenyekiti mbumbumbu mwiz wa pesa wa chuo cha ushirika Moshi.

Walipoona hawawez kuwanunva wasomi wapga kura kwa ufisad... Walitaka kupangua muda wa kupga kura wakaandae mbinu nyingine ya kumpachka Rais fake wa CCM.

Kwa hasra wajumbe wakajpanga na kuwateua viongoz wa nuda wa kusmamia uchaguz na viongoz wapya wakapatkana bila wao kuwepo.

Wewe ni mwongo na mnafiki mkubwa!Hakukuwa na kitu kama hicho acha uzushi kama wa aliyekuwa mgombea wenu wa urais ambaye sifa yake ni kuwa katibu kata lakini akataka kugombea cheo cha juu Tanzania!
 
WEWE JAMAA AKILI ZAKO ZIKO M*KU*N*D*U*NI.....Kwa taarifa yako huyo unayesema KTIBU KATA ..Phd yake ni ile yenye PHYLOSOPH YA UKWELI ambayo wenye HEKIMA humu JF na dunia nzima wanatambua kuwa VIONGOZI NA MARAISI WORE WALIOTUKUKA Walisoma hiyo...SIYO Phd za kupewa baada ya mtu kushauriwa na mke wake kitandani baada ya MAHABA.....

Wewe ni mwongo na mnafiki mkubwa!Hakukuwa na kitu kama hicho acha uzushi kama wa aliyekuwa mgombea wenu wa urais ambaye sifa yake ni kuwa katibu kata lakini akataka kugombea cheo cha juu Tanzania!
 
Unamaanisha dr slaaa kua anasifa ya kua rais?angalia maneno yako na kama wewe ni muislam uende msikitini ukaswali na kama mkristo nenda kanisani ukatubu.tena ukome kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,nyama weeeeeeeeeeee
 
Wewe ni mwongo na mnafiki mkubwa!Hakukuwa na kitu kama hicho acha uzushi kama wa aliyekuwa mgombea wenu wa urais ambaye sifa yake ni kuwa katibu kata lakini akataka kugombea cheo cha juu Tanzania!

WEWE JAMAA AKILI ZAKO ZIKO M*KU*N*D*U*NI.....Kwa taarifa yako huyo unayesema KTIBU KATA ..Phd yake ni ile yenye PHYLOSOPH YA UKWELI ambayo wenye HEKIMA humu JF na dunia nzima wanatambua kuwa VIONGOZI NA MARAISI WORE WALIOTUKUKA Walisoma hiyo...SIYO Phd za kupewa baada ya mtu kushauriwa na mke wake kitandani baada ya MAHABA.....
 
sio cha kushangaa uongozi huo tu wa wanafunzi,mbona tuna mi professor yetu michizi inayokubali kutumiwa na wanasiasa ili inufaike wao na familia zao, hata wafanyaje ccm hadanganywi mtu sasa wasome alama za nyakati......muda wa mabadiliko umewadia na ukoleta mchezo utazaa na watanzania waliochoshwa kuonewa kwa 46 years.:whoo:
 
wewe umelishwa nini mpaka kuwakumbatia hawa ma#########k######ma hata uwasafishe vipi hawasafishiki,ni sawa na kupiga deki ndani ya shimo la choo ili umwage ugali ule,kama hunaga cha kusema ni bora ukatuliza mdhuti,matatizo waliyosababisha hawa watu sasa basi hatuhitaji poroja kwani mwisho wa siku tutazaa na mtu tena atajifungulia kama haja kubwa inakopita.
 
Ifokalo hukupata mgawo nnini, mbona umeingia ****** wakati ushajisaidia nguoni endelea na safari,
 
WEWE JAMAA AKILI ZAKO ZIKO M*KU*N*D*U*NI.....Kwa taarifa yako huyo unayesema KTIBU KATA ..Phd yake ni ile yenye PHYLOSOPH YA UKWELI ambayo wenye HEKIMA humu JF na dunia nzima wanatambua kuwa VIONGOZI NA MARAISI WORE WALIOTUKUKA Walisoma hiyo...SIYO Phd za kupewa baada ya mtu kushauriwa na mke wake kitandani baada ya MAHABA.....

Unatafuta BAN kwa nguvu zote nakuona. Mod tumechoka matusi ya aina hii.
 
Mod inabidi tuangalie hawa wageni wanoingia kwa kipindi hiki nimefuatilia sana post zao wanatuka kwelikweli
Kwani ukiandika bila kutukana matusi ya nguoni ujumbe wako hautafika
Tubadilike jamani
 
Mod inabidi tuangalie hawa wageni wanoingia kwa kipindi hiki nimefuatilia sana post zao wanatuka kwelikweli
Kwani ukiandika bila kutukana matusi ya nguoni ujumbe wako hautafika
Tubadilike jamani

Huwezi kumfananisha Dr. Slaa na katibu kata..Hata Mwalimu Nyerere aliwahi kuwatukana watu walioonesha utovu wa akili kuwa wajinga na wapumbavu...hilo neno hapo juu ni size yake huyo jamaa...kama nawe upo naye pokea.....
 
Nakumbuka mwaka 2006 kama sio mwaka 2007 wanafunzi wa vyuo kadhaa kikiwemo udsm na matawi yake waligoma na kufukuzwa vyuoni. Nakumbuka wana UDSM walibeba moja ya mabango lililosomeka hivi "serikali ya kikwete ni ya kishkaji" hao jamaa wa TAHLISO waliibuka eti wakamuomba rais msamaha na kukiri kwamba walifanya kosa kugoma. Tangu wakati huo sina imani na TAHLISO wale watu wa kununuliwa tu..
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom