Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 282
Dodoma.
Mkutano wa kuchagua viongoz wapya wa umoja wa vyuo vikuu Tanzania umefanyika na hatimae Rais na Katibu wamepatikana.
DHANA na mbinu chafu za CCM zikiongozwa na mtoto wa rais wa tanzania zilitawala kutaka kumuweka mfuasi wa CCM kutoka chuo cha Mzumbe awe Rais.Bwana mdogo Ridhiwan Kikwete alikuwa akigawa rushwa kwa wajumbe na hatimae alifukuzwa akisaidiwa na bwana Noel Katongo mwenyekiti mbumbumbu mwiz wa pesa wa chuo cha ushirika Moshi.
Walipoona hawawez kuwanunva wasomi wapga kura kwa ufisad... Walitaka kupangua muda wa kupga kura wakaandae mbinu nyingine ya kumpachka Rais fake wa CCM.
Kwa hasra wajumbe wakajpanga na kuwateua viongoz wa nuda wa kusmamia uchaguz na viongoz wapya wakapatkana bila wao kuwepo.
Mkutano wa kuchagua viongoz wapya wa umoja wa vyuo vikuu Tanzania umefanyika na hatimae Rais na Katibu wamepatikana.
DHANA na mbinu chafu za CCM zikiongozwa na mtoto wa rais wa tanzania zilitawala kutaka kumuweka mfuasi wa CCM kutoka chuo cha Mzumbe awe Rais.Bwana mdogo Ridhiwan Kikwete alikuwa akigawa rushwa kwa wajumbe na hatimae alifukuzwa akisaidiwa na bwana Noel Katongo mwenyekiti mbumbumbu mwiz wa pesa wa chuo cha ushirika Moshi.
Walipoona hawawez kuwanunva wasomi wapga kura kwa ufisad... Walitaka kupangua muda wa kupga kura wakaandae mbinu nyingine ya kumpachka Rais fake wa CCM.
Kwa hasra wajumbe wakajpanga na kuwateua viongoz wa nuda wa kusmamia uchaguz na viongoz wapya wakapatkana bila wao kuwepo.