hakiyako
Senior Member
- Aug 24, 2014
- 162
- 67
Wakuu, samahani, sijajua kama mojawapo ya ubora wa sheria ni kunyimwa material ili uyatafute kwa shidaa. Judiciary pesa wanazo rais anawapa kila wakati wakiomba, tunaona kwenye tv, kwanini hawaweki database ya court of appeal cases zote zilizopita kweney website yao ili tuwe tunadownload au tunazitafuta na kuzipata kwa urahisi?
hizo unreported cases tafadhali kwanini msiweke kwenye database? hata kama watauza haman shita tutanunua. sasa zile chache walizoziweka kwanza wameweka kikoloni, hakuna mpangilio maalumu wa alfabeti n.k, huwezi kupata kesi unayoitaka kiurahisi. kitu gani kinawashinda? kwanini? na kesi zote ninyi ndio mnazo kwanini mnazificha?
hizo unreported cases tafadhali kwanini msiweke kwenye database? hata kama watauza haman shita tutanunua. sasa zile chache walizoziweka kwanza wameweka kikoloni, hakuna mpangilio maalumu wa alfabeti n.k, huwezi kupata kesi unayoitaka kiurahisi. kitu gani kinawashinda? kwanini? na kesi zote ninyi ndio mnazo kwanini mnazificha?