Jua ndio utajiri mkubwa kabisa tulionao, tusikubali jua limwagikie chini hata kidogo!

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Sep 4, 2013
36,052
40,715
Kwa jua tulilonalo hapa Tanzania ambalo ni la uhakika na halina kusua sua,hatuna winter wala spring na upuuzi mwingine kama huo, jua kwetu ni mwaka mzima, UTAJIRI ULIOJE!

Jua ndio chanzo cha awali kabisa cha nguvu kwa kila kiumbe hai (wanyama, mimea nk), ndio chanzo cha nguvu ya nishati zote hapa duniani, iwe umeme maji, umeme wa gesi asilia, umeme jua, umeme wa gesi za wanyama, mafuta ya petrol nk.
Mfano kwenye umeme wa maji, jua huyeyusha maji kwenye mito, maziwa nk. na kuyageuza mvuke ambao hutengeneza mawingu na kisha mvua kunyesha na kujaza mabwawa, ile 'potential energy' ya maji yale ni imetoka kwenye jua. ZAWADI ILIOJE!

Sasa basi tufanyeje kuvuna huu utajiri wa jua?
1.) Tulime sana, tena sana, ni dhambi kubwa kuliacha jua linamwagikia chini na ardhi ipo, mimea ina 'solar panel' za asili (majani) ambayo yanauwezo wa kudaka nguvu ya jua na kuihifadhi kama chakula, hapa kwetu almost kila kitu kinakubali, iwe mchele, iwe mahindi, iwe korosho ya yule mbunge alielia kama mtoto, iwe karanga, iwe matikiti, zabibu, nyanya, vitunguu, pilipili, karoti, daah, yaani hadi raha hapa Tanzania, na amani ya kumwaga, BARAKA ILIOJE!

2.) Tufuge wanyama sana tena sana!
Wanyama wengi huwa wanakula majani hivyo kuikamata ile nguvu yote ya jua iliyodakwa na majani na hivyo huhifadhi nguvu ya jua katika mfumo wa nyama. Kwakweli ni aibu kuacha majani yenye nguvu nyingi toka kwenye jua yakauke na kuoza, hiyo ni pesa nyingi sana tunaitupa, huo ni utajiri tunauacha unamwagikia chini, fuga hata mbuzi tu, yaani na jua lote hili linalomwagikia chink utakuta lisomi linazunguka na mavyeti likitafuta ajira kwa wahindi, USHENZI ULIOJE!

3.) Tujenge mabwawa makubwa tena mengi, yaani mengi!
Nashangaa huu udhaifu wa kuogopa watu wa mazingira juu wa ujenzi wa mabwawa ulitoka wapi, Tanzania inapoteza matrillion ya shilingi kila mwaka kwa kuacha maji ya Rufiji yakimwagikia baharini bila kuzalisha umeme, ule ni utajiri, tusiache utajiri wa jua umwagikie chini jamani, ni dhambi kubwa sana, STIEGLER'S GORGE DAM project ni utajiri unaokuja, MW 2100 ni mabilioni mengi sana kila mwaka, MRADI ULIOJE!

4.) Bila kusahau tuwekeza sana kwenye umeme wa Solar unaovuna jua moja kwa moja, biogas, gesi asilia na mengine...., je, unafahamu na zingine za kuukinga utajiri huu unaomwagikia chini?
================================
 
Huwa nahis sisi huku nchini kwetu kama tuna kalaana hivi ka kuukumbatia umasikini. Unaweza ukajitoa vizuri kabisa kuanzisha mradi fulani, unakuja kuvamiwa na wenye nguvu ya pesa au madaraka, unanyang'anywa halafu unajifia hivyo.
 
Kwa jua tulilonalo hapa Tanzania ambalo ni la uhakika na halina kusua sua,hatuna winter wala spring na upuuzi mwingine kama huo, jua kwetu ni mwaka mzima, UTAJIRI ULIOJE!

Jua ndio chanzo cha awali kabisa cha nguvu kwa kila kiumbe hai (wanyama, mimea nk), ndio chanzo cha nguvu ya nishati zote hapa duniani, iwe umeme maji, umeme wa gesi asilia, umeme jua, umeme wa gesi za wanyama, mafuta ya petrol nk.
Mfano kwenye umeme wa maji, jua huyeyusha maji kwenye mito, maziwa nk. na kuyageuza mvuke ambao hutengeneza mawingu na kisha mvua kunyesha na kujaza mabwawa, ile 'potential energy' ya maji yale ni imetoka kwenye jua. ZAWADI ILIOJE!

Sasa basi tufanyeje kuvuna huu utajiri wa jua?
1.) Tulime sana, tena sana, ni dhambi kubwa kuliacha jua linamwagikia chini na ardhi ipo, mimea ina 'solar panel' za asili (majani) ambayo yanauwezo wa kudaka nguvu ya jua na kuihifadhi kama chakula, hapa kwetu almost kila kitu kinakubali, iwe mchele, iwe mahindi, iwe korosho ya yule mbunge alielia kama mtoto, iwe karanga, iwe matikiti, zabibu, nyanya, vitunguu, pilipili, karoti, daah, yaani hadi raha hapa Tanzania, na amani ya kumwaga, BARAKA ILIOJE!

2.) Tufuge wanyama sana tena sana!
Wanyama wengi huwa wanakula majani hivyo kuikamata ile nguvu yote ya jua iliyodakwa na majani na hivyo huhifadhi nguvu ya jua katika mfumo wa nyama. Kwakweli ni aibu kuacha majani yenye nguvu nyingi toka kwenye jua yakauke na kuoza, hiyo ni pesa nyingi sana tunaitupa, huo ni utajiri tunauacha unamwagikia chini, fuga hata mbuzi tu, yaani na jua lote hili linalomwagikia chink utakuta lisomi linazunguka na mavyeti likitafuta ajira kwa wahindi, USHENZI ULIOJE!

3.) Tujenge mabwawa makubwa tena mengi, yaani mengi!
Nashangaa huu udhaifu wa kuogopa watu wa mazingira juu wa ujenzi wa mabwawa ulitoka wapi, Tanzania inapoteza matrillion ya shilingi kila mwaka kwa kuacha maji ya Rufiji yakimwagikia baharini bila kuzalisha umeme, ule ni utajiri, tusiache utajiri wa jua umwagikie chini jamani, ni dhambi kubwa sana, STIEGLER'S GORGE DAM project ni utajiri unaokuja, MW 2100 ni mabilioni mengi sana kila mwaka, MRADI ULIOJE!

4.) Bila kusahau tuwekeza sana kwenye umeme wa Solar unaovuna jua moja kwa moja, biogas, gesi asilia na mengine...., je, unafahamu na zingine za kuukinga utajiri huu unaomwagikia chini?
Hahaha Hakika jua ni lenye heri juuu yetu ......hususa kwetu sisi watu weusi
 
Baada ya kuiona hiyo kazi tukufu ya jua ndio sisi tukaihitimisha jua is the source of life here on earth, Ndio maana tu naamini jua ni Mungu soma hapa ujielimishe zaidi juu ya hii nguvu(nishati) ya jua isio Na mwisho. Je, Jua ni Mungu?

Muacheni Mungu wetu apumzike!
 
Kwenye Galaxy yetu kuna majua mengi na makubwa zaidi ya jua letu hili, je, kuna miungu wengi?
Hilo lingine liko wapi? Afu inaoneoana litakuwa halitupendi maana halitumulikii na halitupi maisha kama hili? Hilo litakuwa Mungu wa akina Aliens..hili lililopo Duniani ndio Mungu wetu.

Asema "Mimi ni Nuru ya ulimwengu, moto ulao hakuna atakaeniona akaishi"
 
Hilo lingine liko wapi? Afu inaoneoana litakuwa halitupendi maana halitumulikii na halitupi maisha kama hili? Hilo litakuwa Mungu wa akina Aliens..hili lililopo Duniani ndio Mungu wetu.

Asema "Mimi ni Nuru ya ulimwengu, moto ulao hakuna atakaeniona akaishi"
Galaxy yetu inaitwa 'The milky way', ndani ya hii galaxy kuna Star systems nyingi, numbering in the millions, (kumbuka jua ni Star (nyota)), sasa sisi tupo kwenye hii solar system na ndio jua linalotumulika, ila kuna star systems nyingi sana zenye 'majua yake'
 
Galaxy yetu inaitwa 'The milky way', ndani ya hii galaxy kuna Star systems nyingi, numbering in the millions, (kumbuka jua ni Star (nyota)), sasa sisi tupo kwenye hii solar system na ndio jua linalotumulika, ila kuna star systems nyingi sana zenye 'majua yake'
Hebu weka picha hapa niyaone hayo majua mengine mkuu..unless itakuwa ni ujuha kuamini uwepo wa hayo majua yako mengine?
 
Hebu weka picha hapa niyaone hayo majua mengine mkuu..unless itakuwa ni ujuha kuamini uwepo wa hayo majua yako mengine?
The Milky Way is the galaxy[nb 1] that contains our Solar System. The descriptive "milky" is derived from the appearance from Earth of the galaxy – a band of light seen in the night sky formed from stars that cannot be individually distinguished by the naked eye. The term Milky Way is a translation of the Latin via lactea, from the Greek γαλαξίας κύκλος (galaxías kýklos, "milky circle").[21][22][23] From Earth, the Milky Way appears as a band because its disk-shaped structure is viewed from within. Galileo Galilei first resolved the band of light into individual stars with his telescope in 1610. Until the early 1920s, most astronomers thought that the Milky Way contained all the stars in the Universe.[24] Following the 1920 Great Debate between the astronomers Harlow Shapley and Heber Curtis,[25] observations by Edwin Hubble showed that the Milky Way is just one of many galaxies.

The Milky Way is a barred spiral galaxy with a diameter between 100,000[26] and 180,000 light-years (ly).[27] It is estimated to contain 100–400 billion stars.[28][29] There are probably at least 100 billion planets in the Milky Way.[30][31] The Solar System is located within the disk, about 26,000 light-years from the Galactic Center, on the inner edge of the Orion Arm, one of the spiral-shaped concentrations of gas and dust. The stars in the innermost 10,000 light-years form a bulge and one or more bars that radiate from the bulge. The galactic center is an intense radio source known as Sagittarius A*, likely a supermassive black hole.

Stars and gases at a wide range of distances from the Galactic Center orbit at approximately 220 kilometers per second. The constant rotation speed contradicts the laws of Keplerian dynamics and suggests that much of the mass of the Milky Way does not emit or absorb electromagnetic radiation. This mass has been termed "dark matter".[32] The rotational period is about 240 million years at the position of the Sun.[18] The Milky Way as a whole is moving at a velocity of approximately 600 km per second with respect to extragalactic frames of reference. The oldest stars in the Milky Way are nearly as old as the Universe itself and thus probably formed shortly after the Dark Ages of the Big Bang.[9]

The Milky Way has several satellite galaxies and is part of the Local Group of galaxies, which form part of the Virgo Supercluster, which is itself a component of the Laniakea Supercluster.[33][34]
 
Hebu weka picha hapa niyaone hayo majua mengine mkuu..unless itakuwa ni ujuha kuamini uwepo wa hayo majua yako mengine?
Appearance

A view of the Milky Way toward the constellation Sagittarius (including the Galactic Center), as seen from a dark site with little light pollution (the Black Rock Desert, Nevada). The bright object on the lower right is Jupiter, just above Antares.
" style="border: 0px; font-style: inherit; font-variant: inherit; font-weight: inherit; font-stretch: inherit; line-height: inherit; font-family: inherit; vertical-align: baseline; background: none; width: 220px;">
220px--Following_the_Milky_Way_over_ALMA.webm.jpg
Play media
This time-lapse video captures the Milky Way arching over ALMA.
The Milky Way is visible from Earth as a hazy band of white light, some 30° wide, arching across the night sky.[35] In night sky observing, although all the individual naked-eye stars in the entire sky are part of the Milky Way, the term “Milky Way” is limited to this band of light.[36][37] The light originates from the accumulation of unresolved stars and other material located in the direction of the galactic plane. Dark regions within the band, such as the Great Rift and the Coalsack, are areas where interstellar dust blocks light from distant stars. The area of sky that the Milky Way obscures is called the Zone of Avoidance.

The Milky Way has a relatively low surface brightness. Its visibility can be greatly reduced by background light, such as light pollution or moonlight. The sky needs to be darker than about 20.2 magnitude per square arcsecond in order for the Milky Way to be visible.[38] It should be visible if the limiting magnitude is approximately +5.1 or better and shows a great deal of detail at +6.1.[39] This makes the Milky Way difficult to see from brightly lit urban or suburban areas, but very prominent when viewed from rural areas when the Moon is below the horizon.[nb 2] "The new world atlas of artificial night sky brightness" shows that more than one-third of Earth's population cannot see the Milky Way from their homes due to light pollution.[40]

As viewed from Earth, the visible region of the Milky Way's galactic plane occupies an area of the sky that includes 30 constellations.[41]The Galactic Center lies in the direction of Sagittarius, where the Milky Way is brightest. From Sagittarius, the hazy band of white light appears to pass around to the galactic anticenter in Auriga. The band then continues the rest of the way around the sky, back to Sagittarius, dividing the sky into two roughly equal hemispheres.

The galactic plane is inclined by about 60° to the ecliptic (the plane of Earth's orbit). Relative to the celestial equator, it passes as far north as the constellation of Cassiopeia and as far south as the constellation of Crux, indicating the high inclination of Earth’s equatorial plane and the plane of the ecliptic, relative to the galactic plane. The north galactic pole is situated at right ascension 12h49m, declination +27.4° (B1950) near β Comae Berenices, and the south galactic pole is near α Sculptoris. Because of this high inclination, depending on the time of night and year, the arch of the Milky Way may appear relatively low or relatively high in the sky. For observers from latitudes approximately 65° north to 65° south, the Milky Way passes directly overhead twice a day.


The Milky Way arching at a high inclination across the night sky. (This composited panorama was taken at Paranal Observatory in northern Chile). The bright object is Jupiter in the constellation Sagittarius, and the Magellanic Clouds can be seen on the left. Galactic north is downward.
 
Hebu weka picha hapa niyaone hayo majua mengine mkuu..unless itakuwa ni ujuha kuamini uwepo wa hayo majua yako mengine?
Vipi,kwa maelezo hayo bado tu unaamini kuna jua moja hili la kwetu? Bado unaamini haka kajua ketu ambacho ni 1 in a trillion trillion x100 ni 'mungu'?
 
Kama tukitaka tunaweza na utajiri asilia tunao
Kuna nchi zinapambana haswa usiku na mchana kupanda miti kama ulaya
Angalia huko norway kuna sehemu hawalioni jua maisha Yao kwa sababu wamezungukwa na milima na wakaamua kuweka vioo vikubwa kwenye milima ili jua likitoka lupige kwenye vioo hivyo na ili mwanga kidogo ufike Kwao

Lakini sisi kutwa kuchoma misitu bila kujua athari zake

Na amekuja Rais anaetaka kutupeleka mbele bado watu hawataki

Maendeleo yanakuja kwa Vision yaani baada ya dhiki ni faraja
Maji mengi yanapotea na watu hawajui wayatumiaje
 
Kama tukitaka tunaweza na utajiri asilia tunao
Kuna nchi zinapambana haswa usiku na mchana kupanda miti kama ulaya
Angalia huko norway kuna sehemu hawalioni jua maisha Yao kwa sababu wamezungukwa na milima na wakaamua kuweka vioo vikubwa kwenye milima ili jua likitoka lupige kwenye vioo hivyo na ili mwanga kidogo ufike Kwao

Lakini sisi kutwa kuchoma misitu bila kujua athari zake

Na amekuja Rais anaetaka kutupeleka mbele bado watu hawataki

Maendeleo yanakuja kwa Vision yaani baada ya dhiki ni faraja
Maji mengi yanapotea na watu hawajui wayatumiaje
Yale maji ya Rufiji ni utajiri uliokuwa unamwagikia baharini bure kabisa, wakati yangefaa kwa kilimo cha umwagikiaji, kutoa huduma ya maji mijini na vijijini, na muhimu zaidi kuzalishia nishati safi, cheap na renewable ya umeme, mabeberu yalikuwa yanatuwekea ngumu kwa malengo yao binafsi
 
Yale maji ya Rufiji ni utajiri uliokuwa unamwagikia baharini bure kabisa, wakati yangefaa kwa kilimo cha umwagikiaji, kutoa huduma ya maji mijini na vijijini, na muhimu zaidi kuzalishia nishati safi, cheap na renewable ya umeme, mabeberu yalikuwa yanatuwekea ngumu kwa malengo yao binafsi

Hakuna watu wabaya kama hao na kuwasikiliza au kuwaogopa ndio imetupelekea hayo sio hivyo tu hata sisi ni tungeweza by hook or by crook ila ndio hivyo tena wajanja wengi ambao mbali na kuliona hilo wamezuia maendeleo mengi sana

Mtu kuchimba bwawa utawekewa zengo hata majirani wanaweza kumwagia sumu

Lakini all in all tunakoelekea ni kuzuri
 
Back
Top Bottom