Jua maana ya mafanikio kwa mwanamke!

mindpower

JF-Expert Member
Oct 1, 2016
1,049
1,211
Ndugu wana jf,
Wakati mwanaume mafanikio kwake ni pesa, Mali, utajiri na afya imara yenye uwezo Wa kutotoa watoto!

Kwa wanawake mafanikio maana yake ni tofauti kabsa na mwanaume!
Ona maana ya mafanikio kwa wanawake:

1. Mafanikio kwao maana yake ni bahati ya kupata mwanaume mwenye uume Wa kusimama imara na wenye ufanisi wa hali ya juu wakati Wa tendo la ndoa

2. Bahati ya kupata mwanaume mwenye upendo wa dhati na anayejituma kitandani kumkuna mkewe maeneo yote yenye utamu na kumfanya akojoe zaidi ya marambili na kumfksha kileleni!

3. Mafanikio maana yake kuolewa, Kupata raha ya kitandani toka kwa mtu mmoja tu, kumilki Mme, kupata mtu wa kulala nae usku, mlinzi, body guard, ngao nk. Atakayekujali kwenye majanga na raha!

4. Mafanikio maana yake ni kucontroll uchumi wa mwanaume wake zaidi ya 75% kwa manufaa ya family!

5. Maana yake ni kumdhibiti mwanaume kutoka kwenye uzinzi, ndoa za mitala na ulevi wa kupindikia

6. Mafanikio ya mwanamke ni kuzaa watoto!

7. Mafanikio ya mwanamke ni utulivu ndani ya nyumba yaani amani na upendo

8. Mafanikio maana yake ni kuwa na mwanaume mcha mungu!

Huo ndo ukweli wenyewe! Sasa wale wanawake mnaokomaa na pesa jueni kwamba nyinyi mafanikio yenu sio pesa Bali ni mapenzi ( utamu)!
Anayepinga atuambie yeye mafanikio kwake maana yake nin!!
 
Mwanaume hazeeki labda magonjwa,
Unamuona Mugabe, wanaanika na kuanua ila kitandani anapiga show kama kawaida!

Sikujua hili nafurahi kujua kwamba mpambanaji Mugabe bado yuko fit kiasi hicho. Shida itakuwa macho tu kama wanavyoripoti yanamsumbua.
 
Mafanikio yang ya kwanza kumpata Mungu,pili pesa tatu mume ,namba tatu bado sijakipata ndo kinachonitesa japo nimefanikiwa kimaisha,hadi nahis yule wa ubavu Wang nahis hayupo nchi hii yaan namba tatu inanitesa kwa kweli
 
Uh!!!!
Yaani pesa hakuna kabisaaaaaa!!! Au wanawake gani unaongelea hapo labda!!!
 
Mafanikio yang ya kwanza kumpata Mungu,pili pesa tatu mume ,namba tatu bado sijakipata ndo kinachonitesa japo nimefanikiwa kimaisha,hadi nahis yule wa ubavu Wang nahis hayupo nchi hii yaan namba tatu inanitesa kwa kweli
Hiyo namba 3, ukimaliza hata hizo pesa utaona umhimu wake!
Unapesa Kitanda cha thamani ila usku , unaupweke wa dushe la kudumu, unakumbatia mto, unajikuta bado upwekeupo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom