Zakumi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2008
- 5,063
- 2,471
Zakumi,
This is so mean my brother. Sidhani kama umeandika wewe. This is what you have to say for this tremendous achievement ya huyu bwana mdogo ambaye, bila juhudi zake angekuwa another addition kwenye statistics za umasikini katika jamii yetu? Please....give credibility where it is due.
Kijana hata shule hakwenda kwa kukosa dola 80! Against all odds, kasimama bila kutumia elimu ya mkoloni ambayo wewe na mimi tumeihangaikia maisha yetu yote, na kujiweka katika ramani ya ulimwengu.
As always, nitarudia..Africa inarudishwa nyuma na wasomi kama mimi na wewe..ambao kwa kutumia elimu zetu za kukariri..we tend to think kwamba we know everything and we are civilized! Kumbe hatuwezi fanya lolote.
Dogo ambaye hata shule hakwenda...leo kafanya hili jambo....jiulize wewe zaidi ya kurudia mawazo ya wasomi na wanafilosophia wa enzi hizo....what else have you done? same can be asked of myself.
Tuache hizo wakuu. Tujifunze kuthamini kilicho chetu. Tusione aibu. Kwa mara nyingine nampongeza sana huyu bwana mdogo. A true African story. Against all adversity, he is soldiering on.
Zakumi utakuwa ni utata kuniambia kwamba..Masanja, kusoma degree ya medicine Harvard au Oxford (mfano) katika kijiji/Tarafa/wilaya Nzima ni luck. Common broda! You can do better that that.
Wahenga walisema: Luck favours the prepared minds!
Just remember: A journey of thousand miles..begins with a single step. So we might be late and not appreciated in our own backyard..but we are heading there. And those leading as, are not the Zakumi`s, Masanja`s or Companero`s of this world..who can best recite the writings of great scholars. Rather it is the ingenuity of the downtroden in our society..like this boy, who feel despised and excluded.
Unajua tena wengine hatupo sahihi kisiasa. Ninazungumza yaliyo akilini mwangu.