MjombaRiziki
Senior Member
- Feb 14, 2013
- 143
- 129
Dogo anakuja kuchukua Degree ya Regional Development Planning! Vipi ipo Poa?!!..
Dogo anakuja kuchukua Degree ya Regional Development Planning! Vipi ipo Poa?!!..
Habari... Hiyo nyumba unayosema huko mipango ina vyumba vingapi? Au muundo ukoje?Aya vijana wa Mipango , mjiandae kupanga. Bei ni poa tu na Nyumba ipo karibu na Chuo .
Habari... Hiyo nyumba unayosema huko mipango ina vyumba vingapi? Au muundo ukoje?
NdioWe unataka Nyumba au ?
Ndio
Ni pm pleaseOkay , ni elfu 50. Kitanda kipo , maji kama kawaida
Ni pm please
Iyo inahus mambo y mipango mijiDogo anakuja kuchukua Degree ya Regional Development Planning! Vipi ipo Poa?!!..
Naomba namba yako bro nashida na wewhabarin wakuu, Hii n special kwa wale wote waliochaguliwa kujiunga na chuo cha mipango dodoma kwa mwaka wa masomo 2018/2019, Kama una shida na ufahamu juu ya chuo na courses zitolewazo feel free kuuliza niotakujibu
Bdo halijatengenezw bt Kam una shida Na any update ni pm ntakuelekez mkuuNaomba kuuliza hii irdp haina group llte la whatsapp kwa ajil ya kupata apdate kwa wale 1st yr km ambavyo wanafanya vyuo vyengne?
Poa.... naomba unijuze vipi kuhusu kozi ya Urban planning and environment management imekaaje hapo chuoni na wakufunzi wanabana au? nina mpango wa kubadilisha unanishaurije?habarin wakuu, Hii n special kwa wale wote waliochaguliwa kujiunga na chuo cha mipango dodoma kwa mwaka wa masomo 2018/2019, Kama una shida na ufahamu juu ya chuo na courses zitolewazo feel free kuuliza niotakujibu
kozi gan hapo nzuri na ina priorty ya mkopo ......nataka nibadili finance niende project planning kisa hesab je nitakuw niko sahihi Au nije nikazane tu boiOk thanks
Wadau aliyesoma Hr namuomba nipate mawili Matatu[/QUOTE..pleasee naomba tuwasiliane ..kam marafk kwa kujuzana mambo kadhaa