Kilongwe
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 423
- 115
Ndugu wana Jambo Forums,katika kuhakikisha kuwa kila mutu anakuwa na ufahamu hata kwa kiwango kiduchu nimeamua kuandaa kama kaprogram ambacho kila week nitakuwa nawaleteeni katopic ambacho nina imani katakuwa kanasaidia baadhi ya watu.
Leo hii ninakuja na jinsi ya kutroubleshoo your Network.
Ni maranyingi watu huwa wanapatwa na matatizo kama haya na wasijue ni nini la kufanya na wao huona njia ya kwanza ni kukimbilia kupiga simu kwa Internet Service Provider(ISP) au kumuita IT Specialist na jamaa wakija maranyingi atakuambia unajua sijui NIC yako imekufa ooh sijui kuna stack haziendani inabidi nikakununlie mpya na mambo kibao ili mradi akuchukue kitu.So leo ninakupa technics ambazo unaweza kujua tatizo lipo wapi kabla ya kumuita huyo ISP au IT manager wako.
Unapoona huwezi kuaccess Internet/internet/intranet kuna sababu nyingi ambazo zinaweza kuwa ni sababu za kukusababisha wewe ushindwe kuaccess hizo service sasa nitakuelezea technics nne ambazo ni recomended(kwa watu wanaotumia Windows operating system tu) na causes zake na jinsi ya kuzirekebisha.
Kabla ya kufanya hivi unatakiwa kwanza ujue IP yako(Internet Protocol-Hapa nazungumzia kwa aina zote za Ip iwe IPv4 au IPv6 kwani kwa sasa nchi kama USA,JAPAN na CHINA wameshaanza kutumia new version of IP ambayo ni IPv6, nitakachambulieni ipasavyo katika mada zijazo),Default gateway(hii ni addres ya Router ambayo inakuconnect kwenda kwa ISP wako au Other LAN-kama hujui ni nini Router basi wewe isikuumize sana kichwa Router ni kifaa ambacho nikatumika kuprocess request toka network moja kwenda nyingine) TUANZE
Nenda kwenye start->run->andika cmd->itakotea kabox cheusi(ms DOS) andika ipconfig hii itakuletea IP yako na Default gateway yako so utaiandika pembeni then ukiwa bado upo kwenye hicho kadude cheusi(ms DOS) utaanza kutroubleshoot your internet kwa kufanya hizi process nne.
1.Ukiwa katika DOS,andika ping AAA.BBB.CCC.DDD(hapa namaanisha utaandika Hiyo IP yako uliyoiona baada ya kuandika ipconfig kwa mfano mimi Ip yangu ni 192.168.10.12 so nitaandika ping 192.168.10.12 sasa hapa kuna option mbili ikubali au ikatae kama ikikubali nenda step ya pili kama ikikataa basi hapa ndio wanga wakona inatakiwa uangalie IP configuration zako(nenda mynetworkplaces->right click->properties->utaona Local Area Network-LAN,iright click then chagua properties tena,utaona nyingi csroll hadi kwenye INternet protocol TCP/IP->left click(maranyingine inabidi udoubleclick) so hapo inabidi uangalie ni option gani imekuwa ticked na wewe unatumia service gani,kama ni Modem,iwe wireless au cable modem basi chagua Obtain IP automatic otherwise kwa wale wenzangu wa maofisini na mashuleni basi angalia angalia IP uliyopewa inaligana na hiyo hapo?? then hapo tumemaliza sehemu ya kwanza.kama bado tatizo nenda sehemu ya pili
2.andika ping 127.0.0.1 hii inaitwa loopback address ambayo inaangalia protocol stack(OSI Layers) katika computer zako ipo swafi.Hapa ninamaanisha kuwa kila Computer inakitu kinaitwa Network Interface Card(NIC) hiki kimeunganishwa pale unapochomeka nyaya ya net au kwa wireless kipo kwa ndani. sasa kama utaping hiyo 127.0.0.1 itakubali basi nenda step ya tatu la sivyo huyo anaweza kuwa ndio mchawi wako.so inabidi uangalie je hiyo kadi yako inafanya kazi,haijafa,je kama upo Shuleni au ofisini huyo IT manager wenu hatumii MAC stack(kuna kipindi katika kucontroll access control list unaweza kuconfigure kuwa ni computer moja tu inaweza pata access kwa kuangalia physical address-MAC)ukimaliza hayo yote na bado tatizo nenda step namba tatu
3.Andika ping defaultgateway nadha bado unakumbuka kama nilikuambia unatakiwa ucopy mahali hiyo IP na Default Gateway yako kwa mfano mimi defaule gateway yangu ni 192.168.10.1(mara nyingi hii inakuwa ni address ya kwanza katika kila subnet) so nitaandika ping 192.168.10.1 kumbuka hii ni kwangu mimi sio sawa na ile 127.0.0.1 ambayo ni moja na inafanana kwa watu wote duniani unless special casees ambazo ni beyond the scope kwa watu wengi.kama itakubali basi nenda step ya nne kama itagoma basi hapo ndio uchawi ulipo na fanya hivi so fanya hivi angalia kama waya wako wa Internet umeconnectiwa vzuri,kuna kale ka mwanga kanawaka pale unapounganisha waya wa network kwenye port ya PC au Laptop yako,kama ni wireless basi angalia je kale ka mwanga kanakoonesha connectivity kanawaka rangi ya kijani sio orange,kama hakuna kamwanga chochote hapa ndipo unaweza kumuita IT manager wako kwani inawezekana kuna open circuit,disconnectivity au la baada ya hapo kama ushasolve na bado huwezi kuaccess network nenda step namba nne.
4.nitaielezea kwa lugha nyingine ili watu wote waielewe la sivyo itakuwa ngumu,hapa andika hivi tracert www.jamboforums.com jambo forums.com ni mfano hapo unatakiwa uandike address inayogoma kufunguka,sasa kama itatrace successful inabidi uangalie mabo mawili 1.je hiyo Ip yako ni ipo kwenye valid range??(hii inabidi utafute wataalamu wa subnetting ila nitakuja katika mada hizi wiki zijazo) 2.Je hakuna overlapping of IP Address? kama itatrace UNsuccessful basi inawezekana hao jamaa server yao ipo down na unaweza kula pozi badala ya kuangaika kumuita Mtu akulie Michede yakokwani katika Networking tunatumia term inayoitwa Bandwidth kupima ni kiasi gani cha watu wanaoweza kuaccess on time katika the same throughput Ni kama traffic case,barabara ya mandela ni ngumu kuwa na mifoleni ya kizembe
ukilinganisha na barabara ya ubungo mwenge.
Kama Una maswali,maoni au ushauri usisite kunitumia kwenye e mail yangu 629489676@qq.com toka Uchinani-Kilongwe CCNA holder
Leo hii ninakuja na jinsi ya kutroubleshoo your Network.
Ni maranyingi watu huwa wanapatwa na matatizo kama haya na wasijue ni nini la kufanya na wao huona njia ya kwanza ni kukimbilia kupiga simu kwa Internet Service Provider(ISP) au kumuita IT Specialist na jamaa wakija maranyingi atakuambia unajua sijui NIC yako imekufa ooh sijui kuna stack haziendani inabidi nikakununlie mpya na mambo kibao ili mradi akuchukue kitu.So leo ninakupa technics ambazo unaweza kujua tatizo lipo wapi kabla ya kumuita huyo ISP au IT manager wako.
Unapoona huwezi kuaccess Internet/internet/intranet kuna sababu nyingi ambazo zinaweza kuwa ni sababu za kukusababisha wewe ushindwe kuaccess hizo service sasa nitakuelezea technics nne ambazo ni recomended(kwa watu wanaotumia Windows operating system tu) na causes zake na jinsi ya kuzirekebisha.
Kabla ya kufanya hivi unatakiwa kwanza ujue IP yako(Internet Protocol-Hapa nazungumzia kwa aina zote za Ip iwe IPv4 au IPv6 kwani kwa sasa nchi kama USA,JAPAN na CHINA wameshaanza kutumia new version of IP ambayo ni IPv6, nitakachambulieni ipasavyo katika mada zijazo),Default gateway(hii ni addres ya Router ambayo inakuconnect kwenda kwa ISP wako au Other LAN-kama hujui ni nini Router basi wewe isikuumize sana kichwa Router ni kifaa ambacho nikatumika kuprocess request toka network moja kwenda nyingine) TUANZE
Nenda kwenye start->run->andika cmd->itakotea kabox cheusi(ms DOS) andika ipconfig hii itakuletea IP yako na Default gateway yako so utaiandika pembeni then ukiwa bado upo kwenye hicho kadude cheusi(ms DOS) utaanza kutroubleshoot your internet kwa kufanya hizi process nne.
1.Ukiwa katika DOS,andika ping AAA.BBB.CCC.DDD(hapa namaanisha utaandika Hiyo IP yako uliyoiona baada ya kuandika ipconfig kwa mfano mimi Ip yangu ni 192.168.10.12 so nitaandika ping 192.168.10.12 sasa hapa kuna option mbili ikubali au ikatae kama ikikubali nenda step ya pili kama ikikataa basi hapa ndio wanga wakona inatakiwa uangalie IP configuration zako(nenda mynetworkplaces->right click->properties->utaona Local Area Network-LAN,iright click then chagua properties tena,utaona nyingi csroll hadi kwenye INternet protocol TCP/IP->left click(maranyingine inabidi udoubleclick) so hapo inabidi uangalie ni option gani imekuwa ticked na wewe unatumia service gani,kama ni Modem,iwe wireless au cable modem basi chagua Obtain IP automatic otherwise kwa wale wenzangu wa maofisini na mashuleni basi angalia angalia IP uliyopewa inaligana na hiyo hapo?? then hapo tumemaliza sehemu ya kwanza.kama bado tatizo nenda sehemu ya pili
2.andika ping 127.0.0.1 hii inaitwa loopback address ambayo inaangalia protocol stack(OSI Layers) katika computer zako ipo swafi.Hapa ninamaanisha kuwa kila Computer inakitu kinaitwa Network Interface Card(NIC) hiki kimeunganishwa pale unapochomeka nyaya ya net au kwa wireless kipo kwa ndani. sasa kama utaping hiyo 127.0.0.1 itakubali basi nenda step ya tatu la sivyo huyo anaweza kuwa ndio mchawi wako.so inabidi uangalie je hiyo kadi yako inafanya kazi,haijafa,je kama upo Shuleni au ofisini huyo IT manager wenu hatumii MAC stack(kuna kipindi katika kucontroll access control list unaweza kuconfigure kuwa ni computer moja tu inaweza pata access kwa kuangalia physical address-MAC)ukimaliza hayo yote na bado tatizo nenda step namba tatu
3.Andika ping defaultgateway nadha bado unakumbuka kama nilikuambia unatakiwa ucopy mahali hiyo IP na Default Gateway yako kwa mfano mimi defaule gateway yangu ni 192.168.10.1(mara nyingi hii inakuwa ni address ya kwanza katika kila subnet) so nitaandika ping 192.168.10.1 kumbuka hii ni kwangu mimi sio sawa na ile 127.0.0.1 ambayo ni moja na inafanana kwa watu wote duniani unless special casees ambazo ni beyond the scope kwa watu wengi.kama itakubali basi nenda step ya nne kama itagoma basi hapo ndio uchawi ulipo na fanya hivi so fanya hivi angalia kama waya wako wa Internet umeconnectiwa vzuri,kuna kale ka mwanga kanawaka pale unapounganisha waya wa network kwenye port ya PC au Laptop yako,kama ni wireless basi angalia je kale ka mwanga kanakoonesha connectivity kanawaka rangi ya kijani sio orange,kama hakuna kamwanga chochote hapa ndipo unaweza kumuita IT manager wako kwani inawezekana kuna open circuit,disconnectivity au la baada ya hapo kama ushasolve na bado huwezi kuaccess network nenda step namba nne.
4.nitaielezea kwa lugha nyingine ili watu wote waielewe la sivyo itakuwa ngumu,hapa andika hivi tracert www.jamboforums.com jambo forums.com ni mfano hapo unatakiwa uandike address inayogoma kufunguka,sasa kama itatrace successful inabidi uangalie mabo mawili 1.je hiyo Ip yako ni ipo kwenye valid range??(hii inabidi utafute wataalamu wa subnetting ila nitakuja katika mada hizi wiki zijazo) 2.Je hakuna overlapping of IP Address? kama itatrace UNsuccessful basi inawezekana hao jamaa server yao ipo down na unaweza kula pozi badala ya kuangaika kumuita Mtu akulie Michede yakokwani katika Networking tunatumia term inayoitwa Bandwidth kupima ni kiasi gani cha watu wanaoweza kuaccess on time katika the same throughput Ni kama traffic case,barabara ya mandela ni ngumu kuwa na mifoleni ya kizembe
ukilinganisha na barabara ya ubungo mwenge.
Kama Una maswali,maoni au ushauri usisite kunitumia kwenye e mail yangu 629489676@qq.com toka Uchinani-Kilongwe CCNA holder