Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
Let see, John Terry the Captain of England National Soccer team, who is a married man, decided to provide "comfort affection" to his friend and co players' baby mama ! The issue is now public and going to JoeBurg for World Cup, it is had for bridge and rest of the England players to be under leadership of a captain Mliwazaji Terry who crossed the line.
Capello, the coach kaamua Jeshi haliwezi kwenda vitani huku aliyekuwa mkuu wa kikosi anachomekea wake na ndogondogo za wenzake, kamvua Terry unahodha. A right and perfect move na kamangewezekana zaka ni kumuondoa Terry kwenye timu kabisa maana haaminiki na si muaminifu au mwenye kuheshimu wenziwe!
Je kitendo cha Capello kumvua mtu madaraka sisi Watanzania tunakiweza? Si kwa suala la Ufuska pekee, bali hata mambo menngine ambayo msingi mkuu ni Uongozi Bora, Maadili na Uaminifu?
Je Rais anaposikia habari kuwa Waziri kaingilia ndoa ya mtu au katumia madaraka vibaya kama Ngeleja na yule Mgambo, atachukua hatua gani?
Au kwetu Watanzania tushafanya vitendo vya kuvunja uaminifu kuwa ni jambo la kawaida na si la msingi sana kutoleana jasho au kufukuzana kazi kama si kuvua mtu madaraka?
Capello, the coach kaamua Jeshi haliwezi kwenda vitani huku aliyekuwa mkuu wa kikosi anachomekea wake na ndogondogo za wenzake, kamvua Terry unahodha. A right and perfect move na kamangewezekana zaka ni kumuondoa Terry kwenye timu kabisa maana haaminiki na si muaminifu au mwenye kuheshimu wenziwe!
Je kitendo cha Capello kumvua mtu madaraka sisi Watanzania tunakiweza? Si kwa suala la Ufuska pekee, bali hata mambo menngine ambayo msingi mkuu ni Uongozi Bora, Maadili na Uaminifu?
Je Rais anaposikia habari kuwa Waziri kaingilia ndoa ya mtu au katumia madaraka vibaya kama Ngeleja na yule Mgambo, atachukua hatua gani?
Au kwetu Watanzania tushafanya vitendo vya kuvunja uaminifu kuwa ni jambo la kawaida na si la msingi sana kutoleana jasho au kufukuzana kazi kama si kuvua mtu madaraka?