Mwabhleja
JF-Expert Member
- Jan 27, 2016
- 1,351
- 2,058
Tatizo la nchi hii ni kwamba mambo mengi yamevurugwa kinyume na misingi ilivyojengwa tangu uhuru.
Somo la siasa lilikuwa likifundishwa shuleni na vyuoni zamani, tena siyo kwamba lilikuwa likifundishwa mwaka wa uchaguzi pekee.
Leo lilikuwa ni kuwajenga wananchi kuwa na fikra pana kuhusu uvumilivu wa kisiasa, uhuru wa wananchi ikiwemo uhuru wa kutembea na kujumuika.
Somo la siasa lilitufundisha kwamba maendeleo yanatokana na kukosoana pamoja na kuhimizana kufanya kazi. Na jukumu hilo siyo la Rais peke yake, pia siyo tunda la msimu kama embe dodo.
Naamini somo hilo hakulisoma sana kwa kuwa alitaka kuwa mwanasayansi. Ni wakati wa kuwaita wataalamu wamsaidie maana hata Mwl. Nyerere anayemtaja alikuwa mwerevu wa siasa na ndiyo maana alipendekeza vyama vingi.
Bring Back Our Democracy
Somo la siasa lilikuwa likifundishwa shuleni na vyuoni zamani, tena siyo kwamba lilikuwa likifundishwa mwaka wa uchaguzi pekee.
Leo lilikuwa ni kuwajenga wananchi kuwa na fikra pana kuhusu uvumilivu wa kisiasa, uhuru wa wananchi ikiwemo uhuru wa kutembea na kujumuika.
Somo la siasa lilitufundisha kwamba maendeleo yanatokana na kukosoana pamoja na kuhimizana kufanya kazi. Na jukumu hilo siyo la Rais peke yake, pia siyo tunda la msimu kama embe dodo.
Naamini somo hilo hakulisoma sana kwa kuwa alitaka kuwa mwanasayansi. Ni wakati wa kuwaita wataalamu wamsaidie maana hata Mwl. Nyerere anayemtaja alikuwa mwerevu wa siasa na ndiyo maana alipendekeza vyama vingi.
Bring Back Our Democracy