Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,938
Binafsi mimi si mshabiki wa Magufuli 100% ila kuna wakati namuunga mkono 100% kwa maamuzi anayoyafanya.
Kuna mjamaa yangu ana bachelor ya sheria yuko kampuni ya Warrior kama mlinzi wa kawaida. Nilipomwoji anajisikiaje kulipwa 300,000 na elimu yake akasema sasa afanyeje ? Yeye ni dog handler kaniambia kuna wengine wana elimu kama au zaidi yake wanalipwa 280,000 take home, tena wako wengi.
Magufuli kaondoa ujinga na mazoea kwa watu wengi, naamini watu wengi watafunguka akili zaidi na kujitafutia njia mbadala za kujiingizia kipato zaidi ya kile ambacho angekipata kama angeajiriwa.
Kuna mjamaa yangu ana bachelor ya sheria yuko kampuni ya Warrior kama mlinzi wa kawaida. Nilipomwoji anajisikiaje kulipwa 300,000 na elimu yake akasema sasa afanyeje ? Yeye ni dog handler kaniambia kuna wengine wana elimu kama au zaidi yake wanalipwa 280,000 take home, tena wako wengi.
Magufuli kaondoa ujinga na mazoea kwa watu wengi, naamini watu wengi watafunguka akili zaidi na kujitafutia njia mbadala za kujiingizia kipato zaidi ya kile ambacho angekipata kama angeajiriwa.