ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,019
- 3,880
Ni swali na mjadala
Kutokana na mfululizo wa kushindwa kipropanda,kisera na hata kiutendaji je kuna uwezekano tukasema kwamba JPM aweza kuwa Rais mwenye kiwango cha chini cha utendaji wa wakati wote?
Tunafahamu kwamba JPM hakulelewa na Mwalimu kisiasa ukilinganisha na Mwinyi,Mkapa na Hata Kikwete.
Tunafahamu kwamba JPM hakuwa mwana mtandao kwa hivyo hakuwa na mkakati wowote wa kisiasa wala ajenda ya kisiasa
Tunafahamu kwamba JPM pamoja na jitihada zake za kujionesha kuwa na Misimamo bado hata tangu akiwa kiongozi alioneka zaidi kuwa mtu mwenye EGO zaidi kuliko Kiongozi mwenye Msimamo.
Tunaona na kufahamu kwamba pamoja na kukaa ikulu miaka minne sasa JPM bado hajaweza kufanya serikali yake kuwa na common Agenda,yaani kila kiongozi ana lake na hakuna mipango na vipaumbele vya kueleweka
Tunaona mambo mengi makubwa ambayo yalionekana kuwa mazuri yameishia kwa aibu ukianza na Makinikia ambalo mpaka sasa linaonekana limemtia aibu kubwa kwani sasa anaomba kwa huruma apatiwe pesa hzo ndogo na sio kudai.
Ukiangalia swala la Korosho limemfanya ajutie kauli yake ya kuwachapa shangazi wa kusini kwani ameishiwa kutapeliwa tena mbele ya uso wa dunia na machalii wa Nairobi
Ukiangalia swala la Elimu bure sasa limegeuka kuwa sanaa
Ukiangalia tatizo la ajira ni bomu ambalo liko mbioni kulipuka
Ukiangalia ndani ya CCM hakuna anayemuunga mkono na wengi wanajikomba ili tu wapate vyeo na basi lakini hawamuungi mkono hata kidogo.Chama kimejaa mamluki kibao.
Ukiangalia kwa Kiasi kikubwa kuna mambo mengi sana ambayo yanashindwa,yameshindwa na yatshindwa kwa awamu yake hii.
Je unafikiri tunaweza kusema kwamba huyu ni mmoja katika ya Viongozi wabaya wa wakati wote kuwahi kutokea katika nchi hii?
Kutokana na mfululizo wa kushindwa kipropanda,kisera na hata kiutendaji je kuna uwezekano tukasema kwamba JPM aweza kuwa Rais mwenye kiwango cha chini cha utendaji wa wakati wote?
Tunafahamu kwamba JPM hakulelewa na Mwalimu kisiasa ukilinganisha na Mwinyi,Mkapa na Hata Kikwete.
Tunafahamu kwamba JPM hakuwa mwana mtandao kwa hivyo hakuwa na mkakati wowote wa kisiasa wala ajenda ya kisiasa
Tunafahamu kwamba JPM pamoja na jitihada zake za kujionesha kuwa na Misimamo bado hata tangu akiwa kiongozi alioneka zaidi kuwa mtu mwenye EGO zaidi kuliko Kiongozi mwenye Msimamo.
Tunaona na kufahamu kwamba pamoja na kukaa ikulu miaka minne sasa JPM bado hajaweza kufanya serikali yake kuwa na common Agenda,yaani kila kiongozi ana lake na hakuna mipango na vipaumbele vya kueleweka
Tunaona mambo mengi makubwa ambayo yalionekana kuwa mazuri yameishia kwa aibu ukianza na Makinikia ambalo mpaka sasa linaonekana limemtia aibu kubwa kwani sasa anaomba kwa huruma apatiwe pesa hzo ndogo na sio kudai.
Ukiangalia swala la Korosho limemfanya ajutie kauli yake ya kuwachapa shangazi wa kusini kwani ameishiwa kutapeliwa tena mbele ya uso wa dunia na machalii wa Nairobi
Ukiangalia swala la Elimu bure sasa limegeuka kuwa sanaa
Ukiangalia tatizo la ajira ni bomu ambalo liko mbioni kulipuka
Ukiangalia ndani ya CCM hakuna anayemuunga mkono na wengi wanajikomba ili tu wapate vyeo na basi lakini hawamuungi mkono hata kidogo.Chama kimejaa mamluki kibao.
Ukiangalia kwa Kiasi kikubwa kuna mambo mengi sana ambayo yanashindwa,yameshindwa na yatshindwa kwa awamu yake hii.
Je unafikiri tunaweza kusema kwamba huyu ni mmoja katika ya Viongozi wabaya wa wakati wote kuwahi kutokea katika nchi hii?