Yaliyojiri Ikulu: Mazungumzo kati ya Viongozi wa dini nchini na Rais Magufuli

Wangekuwa wanaitwa kusali tu wanaondoka.
Vinginevyo na waganga wa kienyeji nao wapewe nafasi ya kuongea. Maana licha ya wabongo wengi kuwa watu wa dini asilimia kubwa wanaogopa waganga na kuwaheshimu kuliko Mungu.
 
Kwa teknolojia ya sasa kuzuia betting ni ngumu. Watu wengi wanabet online. Ukifungia makampuni yaliyosajiliwa ndani ya nchi bado wanaweza kucheza kupitia kwenye makampuni ya kimataifa kama bet365 n.k

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi ndiomaana namkubali sheikh Kipozeo na Nabii Titto tu!
2019-01-23%2015.18.02.jpeg
 
Mmoja kati ya wangapi Mkuu? Wale waliondika waraka kwa huyu dikteta March 2018 kwamba hawaridhishwi na muelekeo wa nchi wamepotelea wapi?

Mkuu mbona kuna mmoja kaomba mtunmkubwa awaruhusu watu(wanasiasa) waongee?
Hau mlitaka aliuze arudie kuongea aliyo ongea Lissu kwenye Hardtalk?
 
Kwanza sidhani hata kama ni viongozi wa dini , nadhani ni wadau waliokusanywa na kupachikwa vyeo vya dini ili kudanganya umma , hakuna viongozi wa dini weupe namna ile
Ulitaka waunge mkono sera yenu mpya ya kuunga mkono Ndoa za Jinsia moja na Ushoga!?
 
Rais wetu anawajali na kuwaheshimu sana viongozi wa dini, ndio maana mambo mengi makubwa katika awamu hii yanafanyika kwa mafanikio makubwa.
 
Dkt Magufuli ni kichwa sana yaani ana akili nyingi sana tena sana. Ameweza kujibu baadhi ya hoja kwa ufasaha sana. Wasiompenda wajinyonge wafe
 
Back
Top Bottom