Joyce Ndalichako Atakiwa kujiuzulu, ni maafa kwa taifa

tena wana kazi kubwa sana, inabidi kufuatilia kwa ukaribu wa hali ya juu maendeleao ya wanafunzi. Imahine mwanafunzi anachora vikatuni kwenye karatasi ya majibu. na kwenye malezi yetu wazazi tuweke msisitizo wa elimu, watoto washike elimu. sio kutaka favours na kuzalisha mabomu ya baadae

mithali 4:13 "...mshika sana elimu, usimwache aende zake...." hapa walikusudia wazanzibar waliyoiita elimu dunia, na kwa kuwa wao wanafikira ahera, wanatilia mkazo kwenye elimu ahera
 
hizo propagnda za wakiristo wa tanganyika. mbona hakuna waziri mzanzibar mkiristo lkn nchi ipo juuu kuliko kwenu kwenye wakiristo rushwa imejaa?

Mkuu kwahiyo unamaanisha wakristo ndo wanaoitafuna serikali? Hivi Rostam ni mkristo?
 
kuna wakristo na wanaojiita wakristo. wakristo ni wafuasi wa KRISTO kwa kila jambo, lakini wanaojiita wakristo, ni wale wanaotumia jina hilo, kwa mazoea tu, lakini ukiwaweka kwenye mizani hawana sifa.

Tanganyika kuna rushwa tena sana, nakubali lakini watanganyika sio watu wa kupenda upendeleo kama wazanzibar mlivyo shame on you.

mambo mengine mnatakiwa kuangalia,
1.je mna walimu wa kutosha kuanzia shule za msingi hadi sekondari?
2.walimu wanatekeleza majukumu yao inavyotakiwa?
3. wazazi mnakaa na watoto kuwasisitiza kujisomea au mnatilia mkazo kwenda baharrini kuvua saladini, kibua, chnagu, mkisi na wengine? (kipaumbele kinaamua nature ya matokea ya mwanao)
4. wanafunz wako serious na kitabu?

maswali haya yanaweza kuwajenga na sio kuwa walalamishi na kutaka upendeleo tu hapa

wazanzibar wamefutiwa matokeo,sio kufeli. lkn wabara hamna chochote, tukiwa pamoja vyuo vikuu uwezo wenu unaonekana, mnaongoza kwa disco.mnafeli sana. mnaringiwa mbeleko ya ndalichako tu
 
mithali 4:13 "...mshika sana elimu, usimwache aende zake...." hapa walikusudia wazanzibar waliyoiita elimu dunia, na kwa kuwa wao wanafikira ahera, wanatilia mkazo kwenye elimu ahera

mimi nimeona wanaongoza ni katoliki shule zao kufanya vizuri. lkn KKKT na wasabato zirooooooo tu. sijui na wao wanangoja huko ahera wafaidike?
 
Jamani nyinyi Wazanzibari kwanini mnataka kutumia WMD kuua nzi? Matokeo ya mitihani ya NECTA sio sawa na matokeo ya kura za U-rais ambayo hayawezi kuhojiwa na chombo chochote.

NECTA imetoa utaratibu wa kukata rufaa kwa mtu/mtahiniwa yeyote anayehisi kuwa ameonea. Mitihani iliyokatiwa rufaa husahihishwa upya.

Sasa nyinyi ndugu zetu Wazanzibari kama kweli mnaamini kwa dhati ya miyo yenu kuwa wanafunzi wenu wameonewa na NECTA kwanini msikate rufaa NECTA na mitihani hiyo ikasahihishwa upya? Mnaogopa nini? au kivuli chenu? Hiyo njia mnayotaka kutumia is wrong and it will end up you nowhere. Acheni SIASA.

Badala ya kuandamana kateni RUFAA NECTA ili mbivu na mbichi zijulikane.

Eti NECTA nayo imekuwa KERO ya Muungano! mnataka equal representation! BTW, it was wrong in the first place to have a representative in NECTA because NECTA (Primary and secondary education) is not a union matter.
 
Jamani nyinyi Wazanzibari kwanini mnataka kutumia WMD kuua nzi? Matokeo ya mitihani ya NECTA sio sawa na matokeo ya kura za U-rais ambayo hayawezi kuhojiwa na chombo chochote.

NECTA imetoa utaratibu wa kukata rufaa kwa mtu/mtahiniwa yeyote anayehisi kuwa ameonea. Mitihani iliyokatiwa rufaa husahihishwa upya.

Sasa nyinyi ndugu zetu Wazanzibari kama kweli mnaamini kwa dhati ya miyo yenu kuwa wanafunzi wenu wameonewa na NECTA kwanini msikate rufaa NECTA na mitihani hiyo ikasahihishwa upya? Mnaogopa nini? au kivuli chenu? Hiyo njia mnayotaka kutumia is wrong and it will end up you nowhere. Acheni SIASA.

Badala ya kuandamana kateni RUFAA NECTA ili mbivu na mbichi zijulikane.

Eti NECTA nayo imekuwa KERO ya Muungano! mnataka equal representation! BTW, it was wrong in the first place to have a representative in NECTA because NECTA (Primary and secondary education) is not a union matter.

hoja sio kufeli. hoja kufutiwa matokeo huku yeye wanawe akiwapa div 1. huu ni ****** mkubwa kufanywa na mama huyu. hivi unakaa na kumfutia mwanafunzi matokeo huku mtihani ukiuuza mwenyewe? huyu mama hii dokta kahongwa nini?
 
hoja sio kufeli. hoja kufutiwa matokeo huku yeye wanawe akiwapa div 1. huu ni ****** mkubwa kufanywa na mama huyu. hivi unakaa na kumfutia mwanafunzi matokeo huku mtihani ukiuuza mwenyewe? huyu mama hii dokta kahongwa nini?

Hivi udini na uzanzibari ndio unaokunyima uwezo wa kufikiri???
Sikusomi kabisa. Halafu mtu mwenye upeo mdogo kama wako, unategemea kufaulu???
 
ndalichako huyachakachua matokeo ya wanafunzi kwa Kikanda. Huyu mama ni janga la kitaifa
Anapendelea kanda gani hasa?.Ama mfa maji hakosi kutapa!!! yaan wewe unaimani kwamba Ndalichako ndo amesababisha watoto wenu kufutiwa matokeo?.Mkubali mkatae elimu dini ndo inawafanya watoto wenu waferi,Poleni sana tafuteni chanzo kwanza cha tatizo na si kulalamika tu!!.Au mnataka mbebwe hadi kwenye matokeo??Ndalichako ametekeleza wajibu wake na kwa hili anastahili pongezi!! Hongera sana Mama Ndalichako!!.
 
Anapendelea kanda gani hasa?.Ama mfa maji hakosi kutapa!!! yaan wewe unaimani kwamba Ndalichako ndo amesababisha watoto wenu kufutiwa matokeo?.Mkubali mkatae elimu dini ndo inawafanya watoto wenu waferi,Poleni sana tafuteni chanzo kwanza cha tatizo na si kulalamika tu!!.Au mnataka mbebwe hadi kwenye matokeo??Ndalichako ametekeleza wajibu wake na kwa hili anastahili pongezi!! Hongera sana Mama Ndalichako!!.

hizi propaganda za wakiristo wa tanganyika kwamba waislam hawasomi. hizi propaganda za kanisa katoliko kutaka kula mali ya taifa peke yao. mimi muislam nilipokutana class moja na wakiristo nikiwaona hawana kitu kichwani. Ukija somo la Math hapo ndio usisema .div 111 ya necta kutoka zanzibar ikiingia univ huwa tishio.
 
hoja sio kufeli. hoja kufutiwa matokeo huku yeye wanawe akiwapa div 1. huu ni ****** mkubwa kufanywa na mama huyu. hivi unakaa na kumfutia mwanafunzi matokeo huku mtihani ukiuuza mwenyewe? huyu mama hii dokta kahongwa nini?

Hapa uadhihirisha kwanini Dk. Ndalichako anawafutia matokeo. Reasoning capacity yako inaonesha kwamba hata kuta za Form I hukuwahi kuziona.

Wanafunzi wamefutiwa matokeo kwasababu ya udanganyifu. Udanganyifu upo wa aina nyingi. Mojawapo alioutaja Dr. Ndalichako ni mfanano usio wa kawaida wa kukosea majibu. Mfano unaulizwa Rais wa Tanzania ni nani? a. Jakaya Kikwete
b. Willliam Mkapa
c. Baraka Obama
d. Ali Hassan Mwinyi

Unakuta darasa nzima wameandika c yaani Baraka Obama. Huku ni kukosea kusiko kwa kawaida. Au wengine unakuta darasa nzima wamejaza f ambayo haipo kwenye multiple choice. TAFAKARI.

Hata kama NECTA ndiyo iliyovujisha mitihani mtoa Rushwa na mpokea rushwa they are all guility.

Dk. Ndalichako ni Dk wa Kweli hivyo sishangai watoto wake wakipata DIV I. Maji hufuata mkondo. Kama nyinyi huko ZNZ mmezoea kuhongwa ELIMU kama mvyotaka sasa watoto wenu wahongwe MAKSI na NECTA, wakati ahawana uwezo, huo u.j.i.n.g.a NECTA haifanyi jaribuni sehemu nyingine.
 
hapa kuna tatizo kubwa sio kwa WAZANZIBARI bali ni TANZANIA nzima hata Dr.NDALICHAKO amekiri nalo ni KUVUJA KWA MITIHANI!pamoja na jitihada zote za NECTA,PCCB,POLISI,USALAMA WA TAIFA na taasisi nyingine bado uvujaji upo!kuzuia tatizo hili sio suala la NECTA peke yake!tunahitaji nguvu za pamoja!je wazanzibari wanapinga mitihani kuvuja?au adhabu iliyotolewa?au wanataka adhabu iwapate hata waliohusika?suala la uwakilishi sio hoja yenye nguvu unless waonyeshe jinsi gani hao watu 6 wanashindwa kufanya kazi mpa
 
kwani huyu mama ndo anasimamia walimu wafundishe au yeye kazi yake ni kutangaza matokeo?
 
hizo propagnda za wakiristo wa tanganyika. mbona hakuna waziri mzanzibar mkiristo lkn nchi ipo juuu kuliko kwenu kwenye wakiristo rushwa imejaa?
basi kama ndo hvyo jitahidini na swala la elimu pia kama rushwa mmeweza kudhibiti, zenji mna vyuo vingapi vya elimu ya juu? siyo propaganda ila ndo hali halisi kwani mawaziri wote ni wakristu? usilete mambo ya dini hapa jibu hoja kama ilivyoletwa.
 
hizi propaganda za wakiristo wa tanganyika kwamba waislam hawasomi. hizi propaganda za kanisa katoliko kutaka kula mali ya taifa peke yao. mimi muislam nilipokutana class moja na wakiristo nikiwaona hawana kitu kichwani. Ukija somo la Math hapo ndio usisema .div 111 ya necta kutoka zanzibar ikiingia univ huwa tishio.
kweli wakatoliki tuko juu mpaka tunawaumiza vichwa watu, siyo wakristu wote wana uwezo darasani na wala siyo waislam wote hawana uwezo darasani. endelea hvyo hvyo na mawazo yako kwamba wakatoliki wanataka kula mali ya taifa peke yao, ukija kujua kwamba hauko sahihi wenzako tushakuacha mbali sana na bado tutazidi kutesa mpaka muombe poo na mbaya zaidi watoto wenu wanasoma kwenye shule hizo hizo za wakatoliki.
 
Huyu Bi. Ndalichako na NECTA yote + Waziri wa Elimu wote kwa pamoja wawajibike kwa kujiuzulu.
Wizi wa mitihani, ubabishaji ktk sera ya elimu, dhuluma za mishahara na stahili kibao za walimu, kudiddimia kiwaango cha elimu ngazi zote.... enaf!

Wao wanapeleka watoto wao nje ya nchi ili wapate elimu nzuri, why? kwa sababu hawana imani na elimu ya hapa nyumbani coz wameiharibu sana elimu ya Tz.
 
Kwanza hakuna sheria ya kuhukumu watu wote kwa kosa la mmoja. Pili anaehukumu ndio aonyehe hiyo adhabu kaitoa wapi na kwanini, sio anehukumiwa. Kuwa makini kidogo.

Wewe hujanielewa. Yeye (Baraza la mitihani) limeshahukumu, wewe sasa uonyeshe kuwa hukumu aliyotoa siyo sahihi!!! Sababu zako za rufani zionyesha hiyo. One of the basic principle of evidence is that "He who alleges must prove". You are alleging that justice was not done, then you have to show how? Wewe unatakiwa ujenge hoja kuonyesha kuwa umeonewa. Wakili wako itabidi athibitishe kuwa umeonewa. Baraza litatoa ushahidi kuonyesha kuwa halijakuonea. Then hakimu ataframe issues from which the judgement will base. Kama baraza lingekuwa linawashitaki wanafunzi then the burden of proof lies on the baraza. In the present scenario, the opposite is the case
 
ndalichako huyachakachua matokeo ya wanafunzi kwa Kikanda. Huyu mama ni janga la kitaifa

Wewe kiziwi kama jina lako, ndalichako hasahihishi mitihani na wala hakai peke yake akajifungia chumbani na kuweka grades. simple reasoning!!!! hawezi kuchakachua mitihani. Sidhani kama anamamlaka ya kubadili pass za mtu kuweka anazotaka yeye!!!
 
Huyu Bi. Ndalichako na NECTA yote + Waziri wa Elimu wote kwa pamoja wawajibike kwa kujiuzulu.
Wizi wa mitihani, ubabishaji ktk sera ya elimu, dhuluma za mishahara na stahili kibao za walimu, kudiddimia kiwaango cha elimu ngazi zote.... enaf! Wao wanapeleka watoto wao nje ya nchi ili wapate elimu nzuri, why? kwa sababu hawana imani na elimu ya hapa nyumbani coz wameiharibu sana elimu ya Tz.

Shirikisha ubongo wako kidogo wakati unapotoa hoja za Dk. Ndalichako kujiuzulu, vinginevyo utaonekana a laughing stock!

Dk. Ndalichako anahusika vipi na Sera ya elimu Tanzania?, dhuluma ya mishahara na stahiki za waalimu?, kudidimia kwa kiwango cha Elimu ngazi zote? (assuming ngazi zote una maanisha chekechea hadi vyuo vikuu).

Usifanane na mtu anayeugua Schizophrenia!
 
Inaelekea mtoa hoja anachuki kweli kweli na wakatoliki,sijui tumemfanya nini siye wakatoliki,atoe kilichomsibu kwa hao wakatoliki.Kwenye ELIMU tusiweke udini mbele tuangalie matatizo ya watoto wetu nini?Kuna wanafunzi watano wamebaka mwalimi wao huko Bagamoyo je ni Wakatoliki wamewatuma watoto hawa wambake mwalimu?Tuangalie wazazi tinafanya kazi yetu vyema ya kulea watoto wetu au ukisha lipa ada ya shule basi wajibu umekwisha?Tunapiga makelele mengi watoto wetu wakichapwa mashuleni mbona sisi tulichapwa bakora za kutosha na hatukufa kwa nini watoto wetu tunadai wanahaki ya kutochapwa eti siyo ngoma,basi tupambane nao wairudi nyumbani nako tunashindwa wazazi wako busy kazini na kwenye vikao vya harusi.Kuna wengine wakirudi nyumbani watoto wote wamelala leo tunalalamika wakatoliki.Tutafakari tabia za watoto wetu kwanza.Kina watoto walevi,wavuta bangi/madawa ya kulevya,vibaka na hata wabakaji tumewashughulikiaje hawa.Shule zetu hazina walimu na hata wakiwapo hawana motisha ya kutosha,hebu tutafakari mambo ya muhimu kuliko kumtafakari Dr.Ndalichako au Ukatoliki.
Kuna watoto wa hao hao wakatoliki wamefeli sasa sijui watawalaumu nani.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom