umbea kwa kuwa kaguswa kamanda wa cdm sio ila angekuwa wa ccm mngeshangaliaHuu umbea wa Facebuku humu JF tena!
umbea kwa kuwa kaguswa kamanda wa cdm sio ila angekuwa wa ccm mngeshangaliaHuu umbea wa Facebuku humu JF tena!
Paka leo umeongea itakuwa ni mwisho wa duniaJitokeze hadharani ili kileo akuoe
Kama ndoa ni kitu cha kwanza mbona cdm mnamtukana dr.slaa alipoamua kuachana na cdm kwa ajili ya kuilinda ndoa yakeWewe ni mshamba kweli. Ndoa ya mtu usiingilie. Ndoa inapaswa kuwa ndio kitu cha kwanza ndo ifuate chadema sijui ukawa. Kama wewe uko radhi kumuacha mkeo kisa chadema basi nenda kanisani kafunge ndoa na chama. Masuala ya nyumba ya mtu yanakuhusu nin?
Huna point ya msingi wala nini. Alipofungwa huyo kamanda wako ni Joyce Kiria aliempigia kampeni akizunguka Mwanga nzima. Mapenzi ya watu huyajui. Kaa kimya. Nyambaff
kwan mkewe naye alijidhalilisha pembeniSi ungemtafuta pembeni umwambie na wewe unafanya udhalilishaji bwana
Huna point hapa. Nenda akakuoe wewe bas kama unaona Joyce hamfai.Kama ndoa ni kitu cha kwanza mbona cdm mnamtukana dr.slaa alipoamua kuachana na cdm kwa ajili ya kuilinda ndoa yake
dah kakiuka sana kanuni huyu dadaSiyo powa kujudge, ila hii picha ya chini sijaipenda.
Ngoja MSAGA SUMU aje atuambie wanamahesabu na tautology wanasemaje juu ya uvaaji!
Pole dada Joyce aka Mountainmover ila jirekebishe unamdhalilisha kamanda wetu au kwa kuwa hana chapaaHuna point hapa. Nenda akakuoe wewe bas kama unaona Joyce hamfai.
Huyu ndo Mountainmover mke wa kamanda kilewocc Ruttashobolwa
Utamu uleeeee
Mwanamke aliwahi kuwekwa keko shauri ya bangi unategemea nini
Wewe ukweli huwa unaita udhalolishaji sio?Si ungemtafuta pembeni umwambie na wewe unafanya udhalilishaji bwana