Joyce Kiria na akaunti yake ya Facebook

Wewe ni mshamba kweli. Ndoa ya mtu usiingilie. Ndoa inapaswa kuwa ndio kitu cha kwanza ndo ifuate chadema sijui ukawa. Kama wewe uko radhi kumuacha mkeo kisa chadema basi nenda kanisani kafunge ndoa na chama. Masuala ya nyumba ya mtu yanakuhusu nin?
Huna point ya msingi wala nini. Alipofungwa huyo kamanda wako ni Joyce Kiria aliempigia kampeni akizunguka Mwanga nzima. Mapenzi ya watu huyajui. Kaa kimya. Nyambaff
Kama ndoa ni kitu cha kwanza mbona cdm mnamtukana dr.slaa alipoamua kuachana na cdm kwa ajili ya kuilinda ndoa yake
 
image.jpeg
image.jpeg


Kama hizi hapa
 
Huyu sijui kapandwa na kaugonjwa ama uzee wamjia vibaya jamani muekeni kwenye maombi kwakweli
 
Back
Top Bottom