Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,560
HahahView attachment 41078*hii nimeipenda sana
HahahView attachment 41078*hii nimeipenda sana
MkuuView attachment 41079*kumbe unafanya mazoezi eeh.
Vitu vya kuchekesha hiviNgoja tusubiri tuone huwo ujio wake wa kishindo maana tunahamu naye sana. Vipi anarudi kwenye luninga ile ile ama kabadili? Vipi kuhusu bongo movies maana amekaa kimya na kumeyumba sana, huyu wa cloud kazi yake kuiga tu hana jipya alilo lileta kwenye tasnia hii
Kweli kamanda hapa ametuangusha mahabaria hawafanyi hivi
Aibu nimeona mimi.
Ati promoJamaa kumbe alikuja kumsifia mke wake huku ,ID imemwumbua aisee ,sasa njoo na ID nyingine umponde
jamaa una maigizo sana....Ngoja tusubiri tuone huwo ujio wake wa kishindo maana tunahamu naye sana. Vipi anarudi kwenye luninga ile ile ama kabadili? Vipi kuhusu bongo movies maana amekaa kimya na kumeyumba sana, huyu wa cloud kazi yake kuiga tu hana jipya alilo lileta kwenye tasnia hii
Utakuwa bektatu ww....huyo dada habahatishi hata siku moja, na mkubali sana anajua anachokifanya yupo tofauti na wenzake wanaojiita mastaar. Anajichanganya kwenye kila kundi la jamii bila kujali ustaa wake.
Kuna mtu mwaka 2014 alianzishaga thread, kisha akajiomba contact, akajipa, akashukuru sana, kisha mods wakaunganisha ID ikawa aibu!
Hiyo ndogo sasa! kuna njemba mwaka huo huo hapa JF alianzishaga uzi kuwa ana makalio makubwa yanayochezacheza, anayabana na taiti mbili lakini bado yanacheza. Mods wakaunganisha ID ikaonekana ni mwanaume maarufu sana hapa JF! aisee tulicheka sana.
Ha ha ha haKuna mtu mwaka 2014 alianzishaga thread, kisha akajiomba contact, akajipa, akashukuru sana, kisha mods wakaunganisha ID ikawa aibu!
Hiyo ndogo sasa! kuna njemba mwaka huo huo hapa JF alianzishaga uzi kuwa ana makalio makubwa yanayochezacheza, anayabana na taiti mbili lakini bado yanacheza. Mods wakaunganisha ID ikaonekana ni mwanaume maarufu sana hapa JF! aisee tulicheka sana.
Mwenye makalio makubwa ni giLEsi ndiye aliyeanzisha uzi, baada ya ID kuunganishwa ikaonekana mwenye makalio makubwa ni bujibuji.
Huo uzi wa makalio naukumbuka sema sikujua yaliyoendea
Ya bujibuji ni afadhali hata kuanzia mwanzo humu ni kama comedian ,ila kilewo mtu na heshima zake kama kiongozi anakuja kujisifia humu na kutaka watu waige mfanoMwenye makalio makubwa ni giLEsi ndiye aliyeanzisha uzi, baada ya ID kuunganishwa ikaonekana mwenye makalio makubwa ni bujibuji.