ProBook
JF-Expert Member
- Jan 13, 2012
- 558
- 257
Wakuu,
Huyu mwanadada amekuwa akiziexpose familia za watu kwenywe Tv na kuwasuta wanaume kama watoto, hata kama ni mwanamke ana makosa atafanya ionekane kama mwanaume ndo mwenye makosa sasa mimi hapa nina maswali machache:
Kwanza, ni nani anaempa mamlaka ya kuamua mambo juu ya familia za watu?
Pili, kwanini haheshimu familia za watu anaexpose mambo ya watu kwenye TV?
Na mwisho, kwanini mwanaume unakubali familia yako ionyeshwe kwa Tv kama kiburudisho kwa wengine?
Huyo Joyce ajifunze kuheshimu privacy ya familia za watu at least ingekuwa anawasaidia bila kuwaonyesha real characters.
Au mwaonaje wadau?
Huyu mwanadada amekuwa akiziexpose familia za watu kwenywe Tv na kuwasuta wanaume kama watoto, hata kama ni mwanamke ana makosa atafanya ionekane kama mwanaume ndo mwenye makosa sasa mimi hapa nina maswali machache:
Kwanza, ni nani anaempa mamlaka ya kuamua mambo juu ya familia za watu?
Pili, kwanini haheshimu familia za watu anaexpose mambo ya watu kwenye TV?
Na mwisho, kwanini mwanaume unakubali familia yako ionyeshwe kwa Tv kama kiburudisho kwa wengine?
Huyo Joyce ajifunze kuheshimu privacy ya familia za watu at least ingekuwa anawasaidia bila kuwaonyesha real characters.
Au mwaonaje wadau?