Joyce Banda: I shall die for the land of Malawi!

Mimi naona kama vile approach ya Tanzania kwenye mgogoro wa mpaka ilikuwa ni ya kibabe zaidi kuliko ile ya nchi kubwa kuongea na nchi ndogo jirani kwa jambo linalowahusu wote. Hali hiyo imemfanya mama huyu awe cornered kuwa iwapo atakubaliana na madai ya Tanzania basi itakuwa kama vile aliogopa vile vitisho; na hali hiyo ina complicate process yote. Iwapo tungekuwa na kiongozi wa busara akatuma ujumbe pale Lilongwe na kuongea naye kabla ya kutangaza magazetini huenda mambo yangekwenda tofauti. Iwapo mgogoro huu utakuwa mgumu kutatua, inawezekana zaidi kuwa ni kosa la Tanzania kuliko kosa la Malawi.

Historical documents zilizopo kuhusu mpaka huo, hata kama zinaonekana kuifeva Malawi, ziko against madai ya nchi zote mbili; kwa hiyo ni vizuri wote wawili wakakaa pamoja kumaliza tatizo hilo. Swala la kuwepo mafuta au gesi kwenye ziwa hilo inaweza kuwa ni ndoto tu ambayo huenda baada ya kufanya utafiti na tutakuta kuwa hakuna mafuta kitu au kuna mafuta kidogo sana ambayo thamani yake ni chini ya gharama za kuyachimba. Lakini hayo yanaweza kutokea baada ya kuwa tumeharibu ujirani wetu kutokana na kuwa na viongozi wasiokuwa na busara.

Halafu mwishoni nadhani tatizo jingine kubwa ni ujinga na uzembe wetu waafrika kudhani kuwa tunaweza kunyanyua uchumi wetu kwa kutegemea njia fulani rahisi kama vile mafuta. Tungekuwa na akili kama wenzetu huo Asia ambao wakauza uchumi wao bila kutegema njia yoyote rahisi huenda matatizo kama haya yangekuwa hayatusumbui sana. Angalia Zanzibar inavyozozana na mwezake Tanganyika ambaye wamekuwa nchi moja kwa miaka zaidi ya arobaini lakini kusikia kuwa kuna njia ya mkato inayoitwa mafuta basi kumetokea mgogoro baina yao na wala mwisho wake haujulikani. Nina imani kwa mtizamo huo, hata tukipata mafuta hayo hayatusaidia chochote.
 
Anadai haki yake na nyinyi wengine munajifanya wababe. Kama mafuta au gesi ipo kwenye eneo la malawi, wapewe na kwanini MAma apige kelele kama kweli gesi au mafuta hayapo upende wake?. Bila shaka hili ni tatizo kama lile tulilonalo sisi wazanzibari na Tanganyika. Munalazima kuiba mafuta yetu. Mumekwenda UN kutaka kuongezewa mipaka ya bahari kusudi mutuibie mafuta yetu. Muna nini watanganyika. Hebu jiulizeni mumekosa nini kwa Mungu.

wewe ni mtanzania kweli?
 
nonsense. Tanzania muko nakilakitu but u dont want to use the resources. You civil servants are lazy etc. Now you think lake nyasa will take u out of poverty... Funny
your comment is funniest. Nobody will take it serious!
 
lakini niukweli. Why fight a small peaciful nation like malawi?. Try kenya and u will see how u will be circumsised the islamic way. By the way is true that arabs have stollen serengeti national parck from black tanzanians?
your comment is funniest. Nobody will take it serious!
 
lakini niukweli. Why fight a small peaciful nation like malawi?. Try kenya and u will see how u will be circumsised the islamic way. By the way is true that arabs have stollen serengeti national parck from black tanzanians?

Ukweli upi? Nani kapigana, wangapi wamekufa? Who said Malawi is big and peace less? What has Serengeti to do with you. How can your combine unrelated issues and draw a conclusion. Hivi umesoma wapi wewe! I insist your comments are funniest. Over
 
Anadai haki yake na nyinyi wengine munajifanya wababe. Kama mafuta au gesi ipo kwenye eneo la malawi, wapewe na kwanini MAma apige kelele kama kweli gesi au mafuta hayapo upende wake?. Bila shaka hili ni tatizo kama lile tulilonalo sisi wazanzibari na Tanganyika. Munalazima kuiba mafuta yetu. Mumekwenda UN kutaka kuongezewa mipaka ya bahari kusudi mutuibie mafuta yetu. Muna nini watanganyika. Hebu jiulizeni mumekosa nini kwa Mungu.


Mikataba ya kutafuta mafuta na gesi kwenye ziwa Nyasa ilisainiwa na hayati Bingu wa Mutharika na wakati huo wazungu walianza kurusha ndege zao juu ya hilo ziwa na hakuna mtu yeyote kutoka Tanzania aliyepiga mayowe!! Toka Bingu amefariki hawa wazungu wameendelea kufanya huo utafiti walioanza toka enzi za Bingu; ajabu na kweli wadanganyika wameanza kupiga kelele eti wanyasa wanaingilia sehemu yetu ya ziwa!! Mbona hamkupiga mayowe enzi za Bingu?
 
you cant see arab influence on this because you are a typical victim of arab imperiolisim. You mean you dont see serengeti stollen by arabs but u are able to see malawians stealing your lake. To you the two are not relate. Tanzania is leading in africa on land grabs and most of this land has been given to arabs chineese etc. You cant see all this. U r a true vixtim of arab indoctrination. Read the economist news on land grabing an africa and see where our beutiful country stands. Very sad!!!
Ukweli upi? Nani kapigana, wangapi wamekufa? Who said Malawi is big and peace less? What has Serengeti to do with you. How can your combine unrelated issues and draw a conclusion. Hivi umesoma wapi wewe! I insist your comments are funniest. Over
 
Anadai haki yake na nyinyi wengine munajifanya wababe. Kama mafuta au gesi ipo kwenye eneo la malawi, wapewe na kwanini MAma apige kelele kama kweli gesi au mafuta hayapo upende wake?. Bila shaka hili ni tatizo kama lile tulilonalo sisi wazanzibari na Tanganyika. Munalazima kuiba mafuta yetu. Mumekwenda UN kutaka kuongezewa mipaka ya bahari kusudi mutuibie mafuta yetu. Muna nini watanganyika. Hebu jiulizeni mumekosa nini kwa Mungu.

Pole kiumbe usiyejitambua
 
you cant see arab influence on this because you are a typical victim of arab imperiolisim. You mean you dont see serengeti stollen by arabs but u are able to see malawians stealing your lake. To you the two are not relate. Tanzania is leading in africa on land grabs and most of this land has been given to arabs chineese etc. You cant see all this. U r a true vixtim of arab indoctrination. Read the economist news on land grabing an africa and see where our beutiful country stands. Very sad!!!
So you are justifying Malawi to 'steal' on because Arabs are stealing too! That is fallacy too
 
nonsense. Where was tanzania all these years before the discovery of oil on lake malawi. The problem with uncivilized arabs in tanzania is that they believe in land grabing. Blacks wakeup please.
So you are justifying Malawi to 'steal' on because Arabs are stealing too! That is fallacy too
 
"..........In 1975, a growing women's movement in Kenya motivated Banda to take her three children and leave what she has described as an abusive marriage.[SUP][13][/SUP] "..................."[SUP]][/SUP]Her success moved her to help other women achieve financial independence and break the cycles of abuse and poverty.[SUP][15][/SUP]".........". Anjimile Oponyo sued Madonna who responded with a counter-suit. The case was settled out of court.[SUP][17]"[/SUP]

Then Tanzania have problem...this traumatized woman, with so much psychological scars.....might bring Malawi and Africa into problem.She see everything in a victim`s prism. I wonder if JK has ever tried to see the inner side of her pant?

She is also very immature as a leader,is she could bow to the queen then how many thing this slave can willing like to do just to feel comfortable to her masters.Despite all the controversial and betrayals Tanzania has when it comes to the west,still Tanzanians milk the West more more than "the Funny, puppets from Nyasa land".Its not the first time that Malawi has stepped in the wrong side of History.They have been cheap loophole for "white south African Spy agents" during apartheid to track down and sabotage Freedom fighter camps in various African Camps. The world is yet to see what they got in return.Prostitution doesn't necessarily bring a lovely partner.

The claim that its in this time in History that TZ has an interest with the lake if a foolish.Nyerere had clear view on this, and had a ship in the lake.If the whole Lake was Malawian then why they did Nothing?Does it mean they are the once have shown an interest when they found that the other side has more natural resources than theirs?Sound more plausible.
Tanzania has lots of handsome leaders who are also experienced playboys.Hope Tanzanians can use this front(emotionally sick mama) too to minimize conventional warfare share.I am sure one well planned dinner with her, she will to many men, and everything else would turn out to be Yes, before she realize than its done.
 
Anadai haki yake na nyinyi wengine munajifanya wababe. Kama mafuta au gesi ipo kwenye eneo la malawi, wapewe na kwanini MAma apige kelele kama kweli gesi au mafuta hayapo upende wake?. Bila shaka hili ni tatizo kama lile tulilonalo sisi wazanzibari na Tanganyika. Munalazima kuiba mafuta yetu. Mumekwenda UN kutaka kuongezewa mipaka ya bahari kusudi mutuibie mafuta yetu. Muna nini watanganyika. Hebu jiulizeni mumekosa nini kwa Mungu.
falconer wewe ni hanisi wa kizenji. mafuta yapo kwenye bahari ya indian ocean sasa nani ana haki ya mafuta, wakati wote tupo kwenye hii bahari labda kwasababu nyie ni kisiwa ndo maana mnajiona mna haki zaidi. kumbuka tanzania ni muungano wa tanganyika na nyie mashoga wa visiwani[ zanzibar]
 
falconer wewe ni hanisi wa kizenji. mafuta yapo kwenye bahari ya indian ocean sasa nani ana haki ya mafuta, wakati wote tupo kwenye hii bahari labda kwasababu nyie ni kisiwa ndo maana mnajiona mna haki zaidi. kumbuka tanzania ni muungano wa tanganyika na nyie mashoga wa visiwani[ zanzibar]
wewe unashindwa na hoja. Unaona wazi kuwa maneno yako ni ya kashfa kabisa. Mimi siwezi kukutusi wewe. Mimi sikujui na ninakuheshimu sana maana wewe kama mimi tumeumbwa na Mwenyezi Mungu. Uwezo wa kuweza kumtukana mtu usiyemjua uano wewe. Samahani sana ndugu armanisankara kwa kuwa tumo kwenye muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Na sasa hivi tumechoshwa na matusi yenu ndio maana hatutaki muungano FEKI.
 
nonsense. Where was tanzania all these years before the discovery of oil on lake malawi. The problem with uncivilized arabs in tanzania is that they believe in land grabing. Blacks wakeup please.
Haya ndio madhara ya kupuliza kabla ya kuja JF,ya malawi inahusiana nini na warabu? Au Banda na yeye ametokea Qatar?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom