Sadly Tanganyika nayo itakuwa landlocked Zanzibari ikidai coastal strip.
By Nyasa Times Reporter | August 11, 2012
President Banda arriving at the Ngoni function. Photo by Amanda Chiliro/Nyasa Times
Sadly Tanganyika nayo itakuwa landlocked Zanzibari ikidai coastal strip.
Mazungumzo ya amani pamoja na vielelezo tangu enzi za mjerumani na mwingereza ndivyo vitakavyoamua lakini sio vitisho:
Kama ni vitisho wakamuulize NDULI, IDD AMIN dada!
Teh teh teh hivi ni kwa nini walimuita dada?
upuuzi mtupu ndo unaoongelewa na huyu mama wa Kimalawi. Hatumii akili kabisa.
Tunaisaidia Malawi kwa mengi sana. Bidhaa zao zote kuanzia mafuta hadi bidhaa za matumizi ya kawaida zinategemea bandari ya Dar es Salaam na bandari ya nchi kavu Mbeya. Leo analeta jeuri. Likifumuka la kufumuka hapo mpakani ni wananchi wake ndiyo watakaotaabika. Wamalawi wanaounga mkono upuuzi wa rais wao ni wehu sana maana wanashindwa kupima madhara ya wao kugombana na Tanzania.
Sisi tuna bandari wala hatuitegemei nchi nyingine kuingiza bidhaa zetu. Wao hata wakijitia jeuri wapitishie Zambia still watahitaji kutumia bandari yetu. Wakitaka waende Msumbiji na South Africa basi halafu tuone nani atakula jeuri yake.
Kwanza kwanini tunamchelewesha? Ilifaa atunguliwe siku moja kwa batalioni zitakazojipanga kuanzia Mbamba Bay hadi Kyela. Halafu tunatangaza mkoa wa 30 baada ya Geita, Njombe na Katavi. Halafu miaka ya baadaye tutafikiria kuanzisha mikoa mipya ya Karonga, Mzuzu, Lilongwe na Blantyre.Halafu naona sana Watanzania watarajiwa wanavyotutukana kwenye mitandao yao.
Shauri yao, naona wanajisahahu kuwa si punde mji wao mkuu utakuwa Dodoma.
HOW TWO RECENT PUBLIC STATEMENTS ARE SLOWLY SEEKING TO DEFINE MAMA JOYCE BANDA AND HER BRAND OF POLITICS BEYOND MALAWIAN ENCLAVES
Soon after I had read second article to be released by Malawi's 'Nyasa Times' over the ongoing disharmony on who owns what in lake Malawi, the realities at common law so deliberately being given a cold solder, one fact most loudly stands out crying of new Malawian leaader than anyone else down there can ever try to hide from superior minds out there to feast following her second public statement in a span of less than two weeks over ragging row.
In a sense, what seems to be undeniably coming out of the neighbouring Malawi's Queen is that Mama Joyce Banda is but a mere political entertainer who would stop at nothing say anything that a crowd before here nose would seek to bellow at with an unimaginable levels of ecstacy, a sheer town-crier, crowd pleaser and a potentially promising female leader in our continent but who listens to rather too many voices on an issue yet all facts shall indeed remain solid as they stand to-date.
Ndio, as my mind could certainly most coperatively give me, an utmost sincerity and speedier diplomacy are unpreventably the only sure window path to pursue here and our eyes are wide cast today on the matter than yesterday.
Tuna
Kuna Lindi na Mtwara, ambako kwa sasa hata bado shughuli za kibandari ni below sana.
Hili gazeti (Nyasa Times) ni hatiri sana, limekuwa likitoa habari za uchochezi muda wote...huyu mama wala hajazungumzia vita wala kuitaja Tanzania/ziwa Nyasa....:hat:
Huyu lecturer anasema give and take, tuwape access to the sea, mgonjwa mkubwa huyu anaelewa how much land should be given to them mpaka wafike baharini?
Tanzania is suffering from arab influence. That is why most businesses are owned by arab tanzanians. Tanzania has more resources than malawi and kenya yet tanzania is poorer than kenya why? My advice to president kikwete is please focus on deloping tanzania. U have enough resources to do so. Leave malawi alone. Malawians are good people, asking for war is premitive and islamic.