Joto linapozidi Bongo warembo hutoka hivi

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,471
733
28583_1297423555465_1226642396_30718741_4548500_n.jpg
 
Hapo katikati bana si nchezo lol bia ya Miller imetupa mambo sijui wamelipwa shilingi ngapi kwa kutangaza bia ya Miller huku wakiwanga

It is very expensive to be poor! - The Late Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
 
Hawa warembo wasitutishe hamna lolote, unawaona wako kwenye promosheni ya miller halafu wanalipwa buku ten. hamna kitu hoa
 
hahaha Mademu wa Kenya hawa wanapatikana kwenye kenyanlist.com



Ahsante mkuu kwa kunijulisha maana nilipofungua tu picha nikajiuliza mbona wabaya hivyo?Kumbe ni watani wa jadi ,hapo wala sishangai ukiiangalia vuzuri hiyo picha utafikiri imechakachuliwa hakuna proportionality kwenye miili yao na huyo wa pili toka kushoto ndo lah utafikiri kibibijitu.
 
Huyo wa kati si ndio nanii wa hapa JF? Oooh! sorry nisije nikaanika siri za watu Mwenye shida ani PM. Lakini sharti afanye siri pindi nikimtajia.

Ni msukuma wa pale Maganzo (origin).... she is not Keii's, Hope yupo kikazi with Miller
 
Back
Top Bottom