briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,109
Habari zenu wanaJF na madoc.
Naombeni mnisaidie hili kama ni tatizo, Mara nyingi joto la mwili wangu huwa linakua kubwa na sa nyingine mpaka wakati wa baridi. mtu ukinigusa unaweza kudhani naumwa lakini sivyo, kuna kipindi nilienda hospitali ila sikufanyiwa hata vipimo nikaambiwa ndo damu yangu ilivyo sasa nashindwa kuelewa ni kivipi?
Naombeni mnisaidie hili kama ni tatizo, Mara nyingi joto la mwili wangu huwa linakua kubwa na sa nyingine mpaka wakati wa baridi. mtu ukinigusa unaweza kudhani naumwa lakini sivyo, kuna kipindi nilienda hospitali ila sikufanyiwa hata vipimo nikaambiwa ndo damu yangu ilivyo sasa nashindwa kuelewa ni kivipi?