Joto kali ukeni

Wana jf!!

Mpenzi wangu ni mwezi sasa analalamika kuwa nna joto kali sana ukeni hivyo inamuwia vigumu kusex with me.

Je hili ni tatizo kiafya?


Aisee what hiyo kitu ndiyo inatafutwa yeye anaikimbia? Kipindi cha kupata mimba hiccho mwambia asiikimbie watu wanatafuta hiyo hali wanakosa za hiyo hali Ache ushamba
 
richaabra kuna hawa madaktar wa magonjwa ya wanawake watakusaidia mama pole eeeh. Kipenzi.

Cc Asprin Bonny mshana jr

Mwambie asubiri kidogo kwanza nimalizane na huyu.

Maana huyu tiba yake inahitaji uchunguzi wa kina.

lazima manesi wawe wamesharudi nyumbani.

BTW ushachukua file lake??
KlinikiWanawake-640x3501.jpg
 
Upo Africa, Tanzania, Dar es Salaam hyo ni sababu ya kwanza. Ungekuwa upo Greenland, iceland, norway, japan tungehoji kidogo.
wewe ni african, ungekuwa mzungu pia tungehoji.

wengine wanalilia joto, wako halitaki?? Ebo!!
 
Back
Top Bottom