Carina
Senior Member
- Jan 4, 2011
- 190
- 65
Wadau salama huku.
Mwanangu ana miaka 3 na nusu, inatokea mara kwa mara (kama mara 2 hivi ndani ya miezi 4) anakuwa na moto sana mwilini. Ukimpima kwa ile thermometer joto linaonekana la kawaida tu ( yaani chini ya 37 Centigrade zinazotakiwa).
Nikimpeleka Hispitali (Aga Khan) wanasema ni infection tu ya kawaida. Anapewa madawa anakunywa inaisha ila hii hali inajirudia tena baadaye labda baada ya miezi miwili au mitatu.
Sasa msaada kujua ni kitu gani hiki?
Pili naulizia ni ipi Hospitali nzuri sana kwa watoto kwa hapa Dar es Salaam.
Tatu, namsikia sana Dr. Amir ambae yupo Kariakoo. Naomba kujua anapatikana vipi hasa hasa siku z weekend (Jumamosi na Jumapili) na jee anapokea kadi za bima ya afya.
Nne, ukiondoa Dr. Amir ni nani mwingine dr mzuri wa watoto Kwa Dar?
Asante naomba kuwasilisha.
Mwanangu ana miaka 3 na nusu, inatokea mara kwa mara (kama mara 2 hivi ndani ya miezi 4) anakuwa na moto sana mwilini. Ukimpima kwa ile thermometer joto linaonekana la kawaida tu ( yaani chini ya 37 Centigrade zinazotakiwa).
Nikimpeleka Hispitali (Aga Khan) wanasema ni infection tu ya kawaida. Anapewa madawa anakunywa inaisha ila hii hali inajirudia tena baadaye labda baada ya miezi miwili au mitatu.
Sasa msaada kujua ni kitu gani hiki?
Pili naulizia ni ipi Hospitali nzuri sana kwa watoto kwa hapa Dar es Salaam.
Tatu, namsikia sana Dr. Amir ambae yupo Kariakoo. Naomba kujua anapatikana vipi hasa hasa siku z weekend (Jumamosi na Jumapili) na jee anapokea kadi za bima ya afya.
Nne, ukiondoa Dr. Amir ni nani mwingine dr mzuri wa watoto Kwa Dar?
Asante naomba kuwasilisha.