Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmhh! Uzuri hakuba universal kwenye mambo ya harusi.Nafurahi harusi yangu ilikuwa ya kikamanda haya madudu hakuna.
Wataanza kupovuka hahahHadi raha.
hayo ndio maisha...sio kujiwekea masharti magumuu kuutesa moyo tu, ukihisi kucheza chezaaa..
hongera kwa mkewe sio kama wanawake wa humu kuchwa kukandia wanaume wafupi.
Life is Simple bwanaa
Aliezaaa nae ni mwengine na aliemuoa ni mwengineHiki kijamaa bhana, kinavipaji mia kidogo..! Mke wake kumbe wanaye kitambo sana hadi binti yao siyo muda wataozesha..! Kidding..
Hongera zake kwa kumstili mzazi mwenziwe la sivyo angemzalisha na kusepa..
Okay! Kumbe basi ni kapuuzi kama wapuuzi wengine wa nchi hii..!Aliezaaa nae ni mwengine na aliemuoa ni mwengine
Wewe kama ni mtoto wa kiume na haujaingia kaburini usijekusema hivyo!vitu vingine weka nadhiri moyoni tu,tumeshuhudia watu wakikimbia watu kwa sababu ya maisha kuwa tofauti na pumba zaoOkay! Kumbe basi ni kapuuzi kama wapuuzi wengine wa nchi hii..!
Mdomo huoo ohooo....Okay! Kumbe basi ni kapuuzi kama wapuuzi wengine wa nchi hii..!