ENZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,242
- 1,736
namkubali sana huyo jamaa dah" ...........Mimi role model wangu kwenye comedy kwa sasa ni MAU FUNDI basi
namkubali sana huyo jamaa dah" ...........Mimi role model wangu kwenye comedy kwa sasa ni MAU FUNDI basi
Tatizo kwa Joti ni kwamba anafanya too much bila ya kuonekana lengo la maana zaidi ya kuongea tuuuu.Martin lawrence sheneneh
Sio kaz ndogo kumchekesha mtu....ila kumliza mtu ni kitu cha sekunde hata mtoto mchanga anawezaAisee nilipokuwa youtube nikajikuta napitia video ya huyu jamaa.....Dah Sikuwa nikijua kama jamaa kafikia stage hii....Yani video zote kavaa mavazi ya kike na kujishebedua kama mdada....Na make up kabisaaaaaaaaa.....
Hivi lengo lake ni kuchekesha au nini?....Maana sioni anything funny kujifananisha wa mwanamke....Vichekesho vya namna hii huenda watu wa miaka ya 80 na 90 ndo wangekuwa wanacheka...Its soooo boring kiasi kwamba inaudhi na kukera...
Jamaa naona kama kaishiwa flani hivi...Kiasi kwamba analazimisha sasa kubaki on top...Kwani mbona wapo wachekeshaji maarufu duniani ambao hawachuji na hawavai upuuzi huo...Mchekeshaji inabidi hata akivaa suti tu akizungumza mtacheka, lakini hii style mwisho wa siku utanogewa na kuanza kutafunwa (Kama bado)...
Badilika mjombaaa
Ananiboa sana jamaa kuigiza kike,mbona akina Erick Omondi wanachekesha bila hata bila kutumia nguvu wamevaa suti kabisa, kama ameishiwa akafanye mambo mengine kama masanja na mpoki, Halafu ukizingatia ni mtu mzima kabisa at Late 30"s cjui ata ndugu zake wanamchukuliaje, halaf ana dem kweli huyu jamaa..?
Hivi mwanaume kuigiza ukike inachekesha eh??Joti anajua saaana
Kirahisi tu ni kwamba wanaigiza uhalisia kuna jamaa ni mchekeshaji kwenye TV namba moja ya vijana ea anaigiza kike na madela daily nimeshangaa yani jamaa ni analiwa kabisa(kipindi cha mfungo)alistop ila baada ya hapo daily anatimba kwa msela kama mke kabisa shortly ni kwamba hawa watu wanaprctice hizo tabia japo kwa joti sina uhakika ila baada ya kumcheki yule jamaa basi nikafuta na kudelete kabisa.Hizi za wanaume kujifanya wanawake ni issue za kijinga sana katika jamii
kwani hakuna wanawake wanaoweza kuigiza kama yeye? Tunapopinga ushoga tupinge pia na catalyst za ushonga.
Uchwara kivipi yani?? Mana kiukweli Mau anajitahidi.Huyo dogo uchwara? Is your role model? U can't be serius
Mkuu sasa comedian wote wakivaa suti itakuwaje sasa? By the way kila kitu kina choices wewe unapenda comedian wa kuvaa suti kuna wanaompenda Joti ktk that style si kila unachopenda wewe wote wapende! We mu un follow Joti mfollow kelvin hart or omondi!Aisee nilipokuwa youtube nikajikuta napitia video ya huyu jamaa.....Dah Sikuwa nikijua kama jamaa kafikia stage hii....Yani video zote kavaa mavazi ya kike na kujishebedua kama mdada....Na make up kabisaaaaaaaaa.....
Hivi lengo lake ni kuchekesha au nini?....Maana sioni anything funny kujifananisha wa mwanamke....Vichekesho vya namna hii huenda watu wa miaka ya 80 na 90 ndo wangekuwa wanacheka...Its soooo boring kiasi kwamba inaudhi na kukera...
Jamaa naona kama kaishiwa flani hivi...Kiasi kwamba analazimisha sasa kubaki on top...Kwani mbona wapo wachekeshaji maarufu duniani ambao hawachuji na hawavai upuuzi huo...Mchekeshaji inabidi hata akivaa suti tu akizungumza mtacheka, lakini hii style mwisho wa siku utanogewa na kuanza kutafunwa (Kama bado)...
Badilika mjombaaa
Hivi wanaonekana siku hizi channel ganiOriginal comedy wote baada ya kutoka kwenye kampeini za ccm naona wote wameishiwa na sasa wanaboa
Naunga mkono hojaMimi role model wangu kwenye comedy kwa sasa ni MAU FUNDI basi
Kizazi cha Mulugo hichoHichi kizazi ni shida,sijakuelewa frxh xn ndio kitu gani?