Joshua Onyango na wenzake (3) wakutwa na COVID-19 Timu ya Taifa Kenya. Washindwa kucheza mechi dhidi ya Togo leo

kasenene

JF-Expert Member
Jun 6, 2008
1,632
2,413
Yule beki kisiki wa Simba Joshua Onyango amekutwa na Covid na wenzake watatu" Al-Duhail striker Michael Olunga, Simba SC defender Joash Onyango, Zesco United goalkeeper Ian Otieno, and Sofapaka midfielder Lawrence Juma have tested Covid-19 positive and as a result, they have not been included in the squad to play the Sparrowhawks" kwa wale wanaojua kingereza nimetuma hiyo kama nilivyoipata kutoka Kenya... na hovuyo kukosekana katika kikosi kilichokuwa kinacheza jioni hii dhidi ya Togo.

Tuombe apone mapema asikose mechi ya Jumamosi dhidi ya As Vital
 
Hizo figisu tu, huko Malawi nako Eng Thadeo lwanga alikutwa na Covid lkn baada ya vuta nikuvute vipimo vikarudiwa na akapatikana akiwa Negative ko usishangae Onyango akipimwa tena kesho na akawa Negative
 
Hizo figisu tu, huko Malawi nako Eng Thadeo lwanga alikutwa na Covid lkn baada ya vuta nikuvute vipimo vikarudiwa na akapatikana akiwa Negative ko usishangae Onyango akipimwa tena kesho na akawa Negative
Lakini hao Togo kwenye group wameshatoka ndo wa mwisho wana points 2 ,Sasa figisu za nini wakati washatolewa
 
Lakini hao Togo kwenye group wameshatoka ndo wa mwisho wana points 2 ,Sasa figisu za nini wakati washatolewa
Tujipe muda tuone vipimo vikirudiwa tena vitatoa majibu gani ..swala lakuwa wamwisho kwene group haikufanyi kukaa kinyonge siunaona Tz jana tumemfurusha mtu moja bila japo kwa point hizo hazitupeleki popote
 
Tutapambana bongo aje negative hata kama anayo hatutaki ujinga sisi Kikubwa tumefungwa AS Vita kwanza!
 
Yule beki kisiki wa Simba Joshua Onyango amekutwa na Covid na wenzake watatu" Al-Duhail striker Michael Olunga, Simba SC defender Joash Onyango, Zesco United goalkeeper Ian Otieno, and Sofapaka midfielder Lawrence Juma have tested Covid-19 positive and as a result, they have not been included in the squad to play the Sparrowhawks" kwa wale wanaojua kingereza nimetuma hiyo kama nilivyoipata kutoka Kenya... na hovuyo kukosekana katika kikosi kilichokuwa kinacheza jioni hii dhidi ya Togo.

Tuombe apone mapema asikose mechi ya Jumamosi dhidi ya As Vital

Mechi ya Simba Vs Vita lazima acheze labda tu akutwe na shida nyingne kwasababu vipimo vinafanywa na mamlaka ya nchi yetu
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom