Yule beki kisiki wa Simba Joshua Onyango amekutwa na Covid na wenzake watatu" Al-Duhail striker Michael Olunga, Simba SC defender Joash Onyango, Zesco United goalkeeper Ian Otieno, and Sofapaka midfielder Lawrence Juma have tested Covid-19 positive and as a result, they have not been included in the squad to play the Sparrowhawks" kwa wale wanaojua kingereza nimetuma hiyo kama nilivyoipata kutoka Kenya... na hovuyo kukosekana katika kikosi kilichokuwa kinacheza jioni hii dhidi ya Togo.
Tuombe apone mapema asikose mechi ya Jumamosi dhidi ya As Vital
Tuombe apone mapema asikose mechi ya Jumamosi dhidi ya As Vital