Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Wana JF.
Mbunge wa Arumeru Mashariki Mh Joshua Nassari alitoa ahadi kwa wananchi wa Arumeru Mashariki wakimachagua kuwa mbunge wao atashusha bei ya sukari, ni vizuri angeanza na hili la Sukari na wabunge wengine waige mfano kwake.
Mbunge wa Arumeru Mashariki Mh Joshua Nassari alitoa ahadi kwa wananchi wa Arumeru Mashariki wakimachagua kuwa mbunge wao atashusha bei ya sukari, ni vizuri angeanza na hili la Sukari na wabunge wengine waige mfano kwake.