Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,134
- 13,253
WanaJF
Nadhani wote mngependa kujua kuhusu kinachojiri hapa kuhusu Mheshimiwa Joshua Nasari na sakata lake na polisi wa Arusha. To make a long story short, mchana huu kasharipoti kituo kikuu cha police hapa Arusha akifuatana na Godbless Lema na baadhi ya viongozi wa CDM akahojiwa kwa kama 20 minutes then yuko free. Karibuni Arusha.
Nadhani wote mngependa kujua kuhusu kinachojiri hapa kuhusu Mheshimiwa Joshua Nasari na sakata lake na polisi wa Arusha. To make a long story short, mchana huu kasharipoti kituo kikuu cha police hapa Arusha akifuatana na Godbless Lema na baadhi ya viongozi wa CDM akahojiwa kwa kama 20 minutes then yuko free. Karibuni Arusha.