mmaranguoriginal.
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,060
- 459
Wanajamvi,
Pamoja na kwamba nipo CCM na ni kada mtiifu lakini mtu anapofanya vizuri huna budi kumpongeza ni tendo la mbunge wa Arumeru Mashariki ndugu Joshua Nassari kwa kuwanunulia mpira wa maji wenye mita karibu 1000 kwa shule ya sekondari X kwa kutoa maji toka mlimani na kuwavutia mpaka hapo shuleni na kupunguza wanafunzi wetu kuchota maji mtoni.
Pamoja na hilo amesimamia mradi wa barabara ya Sheela Singisi kwa kushirikiana na wananchi kuchimba hiyo barabara.
Pamoja na pongezi hizo naomba taarifa kuhusu katibu wako bwana Ndonde kwamba ameacha kazi na juzijuzi alikuwa Moshi kuomba kazi kwa kada mmoja wa CCM akanyimwa mara baada ya kujulikana ni CHADEMA.
Hongera na pia naomba majawabu na sio majibu.
Pamoja na kwamba nipo CCM na ni kada mtiifu lakini mtu anapofanya vizuri huna budi kumpongeza ni tendo la mbunge wa Arumeru Mashariki ndugu Joshua Nassari kwa kuwanunulia mpira wa maji wenye mita karibu 1000 kwa shule ya sekondari X kwa kutoa maji toka mlimani na kuwavutia mpaka hapo shuleni na kupunguza wanafunzi wetu kuchota maji mtoni.
Pamoja na hilo amesimamia mradi wa barabara ya Sheela Singisi kwa kushirikiana na wananchi kuchimba hiyo barabara.
Pamoja na pongezi hizo naomba taarifa kuhusu katibu wako bwana Ndonde kwamba ameacha kazi na juzijuzi alikuwa Moshi kuomba kazi kwa kada mmoja wa CCM akanyimwa mara baada ya kujulikana ni CHADEMA.
Hongera na pia naomba majawabu na sio majibu.