randez vous
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 890
- 621
hahaaahaaaNairobi ni shida, Dereva wa Lisu alitoka Dar akiwa na akili nzuri,matibabu ya Nairobi amevurugikiwa. Wauguzaji hata Mbowe, waliondoka na lugha za busara wamerudi wakiropoka ovyo. Sasa Flush ya Nassari nayo imebuma mpaka arudi!!! Huko sio kwa kwenda.