monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,265
- 11,302
hivi huyu si ndo alienda bungeni akiwa amelewa? Mbona mwenzie kitwanga sio mtoro?
daaaah!Wakulaumiwa Hapa ni Nassar kwa kutoudhuria vikao vya bunge!
Pia nimemwona siku za karibuni amekuwa mkimya sana.
naunga mkono hoja yako!Nassari kaamua kuunga juhudi kwa style ya kipekee
Spika anatakiwa kuuliza au mbunge anatakiwa kutoa taarifa kwanini anashindwa kuhudhuria?Spika ametumia kifungu gani kutengua ubunge wake na vipi hajauliza kwanini haudhurii bungeni?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua nassari anadaiwa kuvuliwa ubunge kwa kile kinachodaiwa kuwa ni kushindwa kuhudhuria mikutano mitatu ya bunge, jambo ambalo ni kinyume na sheria na taratibu za Bunge.
Nafasi yake imebaki wazi.
View attachment 1045633
UPDATE:
JamiiForums imemtafuta Mbunge huyo ambaye amesema hana taarifa rasmi naye ameona taarifa zikisambaa mitandaoni.
Aidha, ameifahamisha JamiiForums kuwa mapema Januari (tarehe 29) mwaka huu aliwasiliana na Ofisi ya Spika na kueleza juu ya kushindwa kuhudhuria vikao vya Bunge.
Sehemu ya Barua yake kwa Spika inasomeka:
Dear Mr. Speaker.
REF: PARLIAMENT PROCEEDINGS
I am writing to keep your esteemed office informed that, I amregrettably unable to attend the currently ongoing Bunge proceedings because of circumstances beyond my reach.
For quite sometimes now, I have been attending my significant other who is receiving medical attention outside the country. The good news is, she managed to give birth to a healthy baby girl two days ago.
However, her medical specialists have advised that they will need to closely monitor her progress for couple of weeks before we can make our way back to the country.
I reiterate my desire to attend the upcoming sessions as scheduled upon my return.
All my Best,
Joshua Nassari (MP)
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungana wa Tanzania, Job Ndugai amemuandika barua, Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Semistocles Kaijage kuwa Jimbo la Arumeru Mashariki kwa sasa liko wazi kufuatia, Mbunge wake Joshua Nasari ( CHADEMA) kushindwa kuhudhuria mikutano mitatu mfululizo na hivyo kupoteza sifa za kuendelea kuwa mbunge.View attachment 1045634View attachment 1045635
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama sheria zinasema hivyo na kweli hakuudhuria bila sababu ya msingi Basi spika yupo sahihi.daaaah!
vikao vitatu ndiyo inakuwa hivi?!
hapo Kuna namna siyo buree
Ni juzi kwenye msiba alisema alikuwa anatafuta wafadhili kwa ajili ya maendeleo ya Jimbo lake
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanataka agombee kupitia CCM, atarudi.Wakifanya uchaguzi atarudi mjengoni